Naona bongoland kua na nyumba au kujenga nyumba ni big deal, kuna watu wanaamua tu hawataki kujenga ili mradi atapanga sehemu nzuri bila tatizo. Maana wengine wanaona shida ujenge li nyumba la milioni 200 Kibada sijui Goba, baada ya miaka kama 5 unavuta unawaacha familia na madeni ya bank si sawa. Bora hio pesa upange ila watoto waende shule za uhakika likitokea la lakutokea umewaachia watoto msingi wa elimu bora bila madeni.