Simba SC bado ni underdog, Yanga itabaki kuwa ni timu bora

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,260
4,132
Jana tuliwaambia SSC mjifunze kwa KVZ, Yanga imechezesha kikosi cha tatu jana lakini leo SSC ni full mkebe but kinachotokea uwanjan ni majanga.

Kwa mpira huu wa kukosa utulivu kwa striker wa SSC je watatoboa makundi CAFCL?

Bado SSC ikiwa full haiwezi kuikabili Yanga ikiwa ful mkebe, kwanza beki za SSC bado zinapwaya, kukiwa na okrah , Aziz K , Pacome, Farid na musonda……. Hivi SSC si mtakula kumi?

Nasema Tena Yanga itabaki kuwa timu bora kwa miaka 3 mfululizo, CAF inatakiwa kureview sasa timu bora kwa TZ kwa sasa ni iPi,

ni Yanga au SSC.

Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .

Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.
 
Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .

Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.
Tunaheshimu maoni yako...ila sio lazima tuyakubali.
 
Mtu anakosa tu usingizi anajiandikia maujinga. Hata kama ni Utopolo jitahidini basi kuficha upumbavu wenu
 
Jana tuliwaambia SSC mjifunze kwa KVZ, Yanga imechezesha kikosi cha tatu jana lakini leo SSC ni full mkebe but kinachotokea uwanjan ni majanga.

Kwa mpira huu wa kukosa utulivu kwa striker wa SSC je watatoboa makundi CAFCL?

Bado SSC ikiwa full haiwezi kuikabili Yanga ikiwa ful mkebe, kwanza beki za SSC bado zinapwaya, kukiwa na okrah , Aziz K , Pacome, Farid na musonda……. Hivi SSC si mtakula kumi?

Nasema Tena Yanga itabaki kuwa timu bora kwa miaka 3 mfululizo, CAF inatakiwa kureview sasa timu bora kwa TZ kwa sasa ni iPi,

ni Yanga au SSC.

Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .

Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.
Hahahahaaaa.... Fomu izi temporari na Klasi izi pamanenti, weka akilini hiyo.
 
Jana tuliwaambia SSC mjifunze kwa KVZ, Yanga imechezesha kikosi cha tatu jana lakini leo SSC ni full mkebe but kinachotokea uwanjan ni majanga.

Kwa mpira huu wa kukosa utulivu kwa striker wa SSC je watatoboa makundi CAFCL?

Bado SSC ikiwa full haiwezi kuikabili Yanga ikiwa ful mkebe, kwanza beki za SSC bado zinapwaya, kukiwa na okrah , Aziz K , Pacome, Farid na musonda……. Hivi SSC si mtakula kumi?

Nasema Tena Yanga itabaki kuwa timu bora kwa miaka 3 mfululizo, CAF inatakiwa kureview sasa timu bora kwa TZ kwa sasa ni iPi,

ni Yanga au SSC.

Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .

Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.
Unajiandikia au umeandikia na wengine wasome, sababu haya ilitakiwa wakati umekaa na mmeo ndiyo mujazane huu utopolo.

Haya hupaswi kuyaleta humu.

Unaonekana zuzu.

Ukubwa wa timu hauji kwa kuchezesha wachezaji wa kuokota na baadae ukajisifu.
 
tutawaonesha keshokutwa jinsi ya kuwafunga APR na kikosi cha pili+cha tatu
Haya ni maneno ya Gamondi.

Nb:mtu umevimbiwa zako mihogo unakuja humu kujifanya nawe ni kocha wa Yanga.
Screenshot_20240106-124058.jpg
 
Jana onana hata sub hakuwepo walivyoona maji yamezidi unga wakamfata jukwaani aje aòkoe jahazi....lakini bado mambo yakawa bado magumu
 

Attachments

  • Screenshot_20240106-092158_Instagram.jpg
    Screenshot_20240106-092158_Instagram.jpg
    287.3 KB · Views: 4

Similar Discussions

Back
Top Bottom