Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,260
- 4,132
Jana tuliwaambia SSC mjifunze kwa KVZ, Yanga imechezesha kikosi cha tatu jana lakini leo SSC ni full mkebe but kinachotokea uwanjan ni majanga.
Kwa mpira huu wa kukosa utulivu kwa striker wa SSC je watatoboa makundi CAFCL?
Bado SSC ikiwa full haiwezi kuikabili Yanga ikiwa ful mkebe, kwanza beki za SSC bado zinapwaya, kukiwa na okrah , Aziz K , Pacome, Farid na musonda……. Hivi SSC si mtakula kumi?
Nasema Tena Yanga itabaki kuwa timu bora kwa miaka 3 mfululizo, CAF inatakiwa kureview sasa timu bora kwa TZ kwa sasa ni iPi,
ni Yanga au SSC.
Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .
Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.
Kwa mpira huu wa kukosa utulivu kwa striker wa SSC je watatoboa makundi CAFCL?
Bado SSC ikiwa full haiwezi kuikabili Yanga ikiwa ful mkebe, kwanza beki za SSC bado zinapwaya, kukiwa na okrah , Aziz K , Pacome, Farid na musonda……. Hivi SSC si mtakula kumi?
Nasema Tena Yanga itabaki kuwa timu bora kwa miaka 3 mfululizo, CAF inatakiwa kureview sasa timu bora kwa TZ kwa sasa ni iPi,
ni Yanga au SSC.
Hata Super Leageu Yanga ndio inapaswa kushiriki kwa sasa na sio SSC .
Tukiangalia kwa mapana zaidi , kwa sasa Yanga ndio inapaswa kushiriki michuano mikubwa na sio SSC.