NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Wapenzi wangu nimewamiss baada ya mtoko wa siku chache kiofisi vijijini.
kuna swali ambalo nimeona kuna sababu tujiulize tupate jibu................
..........................Je mapenzi ni jambo la kiroho au la kimwili?
Kimwili: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Kiroho: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Kiroho na Kimwili: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Ninachodhani mimi ni kuwa kila take ina athari yake fulani (be it negative or positive) kwenye mahusiano na uko umuhimu wa kufahamu katika pande zote
Nawasilisha marafiki
kuna swali ambalo nimeona kuna sababu tujiulize tupate jibu................
..........................Je mapenzi ni jambo la kiroho au la kimwili?
Kimwili: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Kiroho: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Kiroho na Kimwili: Kwa nini na je kuyachukulia kinyume na hivyo kuna madhara gani?
Ninachodhani mimi ni kuwa kila take ina athari yake fulani (be it negative or positive) kwenye mahusiano na uko umuhimu wa kufahamu katika pande zote
Nawasilisha marafiki