TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Critics, crtitics! ......mkubali msikubali mzee Sitta mchago wake mkubwa sana...kafanya bunge japo liwe na meno.....mmessahau wakati wa Msekwa? utafikiri wabunge wote walikuwa na degedege. Watu msio na shukrani nakuambieni, ingekuwa enzi za Msekwa, Richmond isingeleta dhoruba yeyote kwa serikali.Period! Mpeni mtu haki yake, Sitta ni kiongozi shupavu.