Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Bunge ni la CCM; Serikali ni ya CCM; Vyombo vya HABARI vingi vinamilikiwa na wanaCCM na CCM ina vya kwake; Watanzania tulio wengi ni wanaCCM; Watafanya wanavyotaka.
Kwa vyovyote vile watakaangana kwa mafuta yao wenyewe!!