Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa Mbunge yeyote atakayebainika kucheza michezo ya bahati nasibu(Kamari) atapelekwa kwenye Kamati ya maadili ya Bunge
Spika aliyasema hayo wakati Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga akichangia na kuongea kuhusu kamari kwa kusema wimbi kubwa la watanzania sasa hivi wanawaza kucheza kamari
Aidha, Mbunge Mlinga ameishauri Bodi ya Kamari nchini(Gaming Board) kutafuta namna nyingine ya kuratibu suala la kamari maana madhara yake ni makubwa kuliko viroba au bangi
MY TAKE:
Sina hakika kama kuna kuna kifungu hicho kwenye kanuni na miongozo ya bunge, Ila bila shaka Spika anatukumbusha kuwa kwa Mujibu wa Biblia na Quraani kubeti kama zilivyo kamari nyingine mfano BIKO na TATU MZUKA ni dhambi.
Lakini pia nimkumbushe Spika kuwa sehemu ya mapato ya kubeti na kamari nyinginezo hulipa kodi serikalini na pesa hiyohiyo ndio huwalipa posho, marupurupu na matibabu India.
Spika aliyasema hayo wakati Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga akichangia na kuongea kuhusu kamari kwa kusema wimbi kubwa la watanzania sasa hivi wanawaza kucheza kamari
Aidha, Mbunge Mlinga ameishauri Bodi ya Kamari nchini(Gaming Board) kutafuta namna nyingine ya kuratibu suala la kamari maana madhara yake ni makubwa kuliko viroba au bangi
MY TAKE:
Sina hakika kama kuna kuna kifungu hicho kwenye kanuni na miongozo ya bunge, Ila bila shaka Spika anatukumbusha kuwa kwa Mujibu wa Biblia na Quraani kubeti kama zilivyo kamari nyingine mfano BIKO na TATU MZUKA ni dhambi.
Lakini pia nimkumbushe Spika kuwa sehemu ya mapato ya kubeti na kamari nyinginezo hulipa kodi serikalini na pesa hiyohiyo ndio huwalipa posho, marupurupu na matibabu India.