Ndungai mwenyewe alipatikana kwa shs ngapi kule Kongwa?Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka Wabunge wanaofanya safari za kuja na kuondoka Bungeni kwa kutumia Bodaboda kuwa makini zaidi na usafiri huo pamoja na Madereva wanaowabeba
Ndugai amesema "Sina shida na usafir huu lakini nawaomba umakini na kuwa na uhakika na huyo Dereva wa Bodaboda kwasababu kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa"
Pia, amesema ni vizuri Mbunge kutafakari Wananchi wake wakimuona kwenye Bodaboda watafikiria vipi.
Shida ilianzia hapaSina imani kwamba huyu jamaa yuko sawa kwa head
Kwa maelezo yako mtu wa hadhi unayofikiria,ili asipate matatizo unayoyajua,inabidi apande v8 au magari mengine ya hadhi?Tatizo watanzania hawapendi kuelezwa ukweli
Sasa Mbunge utapandaje toyo kama wewe sio mpumbavu.
Lazima ujue toyo ina watu wake
Sasa msipende niingie ndani sana
Wewe elewa Mbunge hapaswi kupanda toyo.
In short lile la Ndugai ni Katazo kama una akili. Akipata tatizo tutamtibu na kodi za wananchi
Wakati Tundu lissu tulikataa kumtibu na kodi hizo hizo na hakupata ajali ya toyo
Uzuri wabunge wapanda bodaboda ni wa ccm. Kina Mdee hawana jimbo wanapatikana kwa misheni town tuSpika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka Wabunge wanaofanya safari za kuja na kuondoka Bungeni kwa kutumia Bodaboda kuwa makini zaidi na usafiri huo pamoja na Madereva wanaowabeba
Ndugai amesema "Sina shida na usafir huu lakini nawaomba umakini na kuwa na uhakika na huyo Dereva wa Bodaboda kwasababu kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa"
Pia, amesema ni vizuri Mbunge kutafakari Wananchi wake wakimuona kwenye Bodaboda watafikiria vipi.
Acha majungu ya Kishumundu unalipwa milioni 11 Mshahara na posho lukuki unaenda kupanua Miguu kwenye Pikipiki Ndugai Yuko sawa kabisa.Kwani kupanda bodaboda ni dhambi jaman..au ni low class citizen transport...? iseeee
Hujamuelewa Spika! Spika anasisitiza umakini zaidi, maana hao madereva wengi wa bodaboda hawajasomea au kupata mafunzo kabla ya kuaanza kuendesha bodaboda,wanafundishana kiyenyeji tu alafu hao wanaingia barabarani kubeba abiria,na ndiyo maana unaona madereva wengi wa bodaboda hawana habari kabisa na Sheria za barabarani wanaona wao haziwahusu kabisa, ndiyo maana hata akikutaa taa nyekundu yeye ata force kupita tu! Na hii ndiyo inasababisha ajali za bodaboda kua nyingi kuliko ajali zingine!! Japokua madereva wazuri wapo pia lakini ni kwa uchache sana!!Spika ana shida.It seems yeye mawazo yake ni kwamba wapo watu wa hadhi fulani nchini ambao hawapaswi kutumia Boda Boda.Huu ni mtimazo segregative ambao hauna budi kukewa kwa nguvu zote.Spika anataka kutuambia wanaotumia Boda Boda wakiwemo wananchi wengi wa kuwaida wao sio watu?Kusema kwamba wanannchi watamuonaje Mbunge anayepanda Boda Boda ni kujaribu tu kuhalalisha statement yake,lakini haifai.
Spika anapaswa kuwaomba wananchi radhi.
Ndugai hataki wabunge wachangie uchumi wa wanyonge wakati ndio huwa wanawpa kura naona anapandisha mabega kwa sababu yeye kapataKwani kupanda bodaboda ni dhambi jaman..au ni low class citizen transport...? iseeee
Wakinga wamefanyaje mbona unawazingua jombaa?Kwani huko Bungeni 90% ni wakinga??
Yeye Traffic? mtu huwa hapewi leseni bila kupitia Traffic kuidhinishwaHujamuelewa Spika! Spika anasisitiza umakini zaidi, maana hao madereva wengi wa bodaboda hawajasomea au kupata mafunzo kabla ya kuaanza kuendesha bodaboda,wanafundishana kiyenyeji tu alafu hao wanaingia barabarani kubeba abiria
Hapana mkuu,statement ya Ndugai kwamba wananchi wa jimbo la Mbunge anayepanda Boda Boda watamuonaje,ni contravesial na sio sahihi.Infact I can also add,ni dharau kwa mwananchi yeyote anayepanda Boda Boda.Huko ni kupandisha mabega.Mkuu Ndugai tunamjua,ni mpandisha mabega,usimtetee.Hujamuelewa Spika! Spika anasisitiza umakini zaidi, maana hao madereva wengi wa bodaboda hawajasomea au kupata mafunzo kabla ya kuaanza kuendesha bodaboda,wanafundishana kiyenyeji tu alafu hao wanaingia barabarani kubeba abiria,na ndiyo maana unaona madereva wengi wa bodaboda hawana habari kabisa na Sheria za barabarani wanaona wao haziwahusu kabisa, ndiyo maana hata akikutaa taa nyekundu yeye ata force kupita tu! Na hii ndiyo inasababisha ajali za bodaboda kua nyingi kuliko ajali zingine!! Japokua madereva wazuri wapo pia lakini ni kwa uchache sana!!
Mbunge ester bulaya ana bodaboda wake.Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka Wabunge wanaofanya safari za kuja na kuondoka Bungeni kwa kutumia Bodaboda kuwa makini zaidi na usafiri huo pamoja na Madereva wanaowabeba
Ndugai amesema "Sina shida na usafir huu lakini nawaomba umakini na kuwa na uhakika na huyo Dereva wa Bodaboda kwasababu kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa"
Pia, amesema ni vizuri Mbunge kutafakari Wananchi wake wakimuona kwenye Bodaboda watafikiria vipi.