Spika Ndugai: Tarehe 29/01/2022 Bunge litaongoza maombezi maalumu ya kuliombea taifa, mgeni rasmi atakuwa Rais Samia

Tunapoamua kuwaombea wenye shida nyie mnatuletea FFU halafu nyie mnajifanya kuombea "amani". Hiyo amani ni shinikizo la kesi za michongo, choko choko za katiba mpya!! Mungu muumbaji atawapa tanzania kilicho chema!
 
Katiba haina kipengele kisemacho moja ya kazi ya bunge ni kuliombea taifa, bali kuihoji na kuishauri serikali pia kutunga sheria. Kila watu wawajibike kwa majukumu yao.

Kuna jambo viongozi wa nchi hii hawajalitambua, uonevu na kutokuheshimu sheria na katiba habitawaacha salama
 
Katiba haina kipengele kisemacho moja ya kazi ya bunge ni kuliombea taifa, bali kuihoji na kuishauri serikali pia kutunga sheria. Kila watu wawajibike kwa majukumu yao.
Kuna jambo viongozi wa nchi hii hawajalitambua, uonevu na kutokuheshimu sheria na katiba habitawaacha salama
Hata wewe utaombewa!
 
Sala za wanafiki haziendi popote. Wanapoteza muda tuu.
Huwezi kuingia bungeni kwa kupora ushindi eti halafu uutumie ubunge huo kumuombea mtu kwa Mungu.
Labda mungu wa kuchonga!
Waombee hilo lisanamu lao hapo la Kongwa
 
Sasa wewe Unapata afya wakiendelea kuvutana? Ni kwa faida ya nani? Acha uchawi mkuu.
“Kuvutana” ni neno subjective😊

Kazi ya Bunge sio kuomba misamaha hovyo kwa Serikali baada ya kuibua hoja. Ambacho angepaswa kufanya Job ni kureplay speech yake yote anayodai ni original then afafanue some of those controvesial remarks kwa manufaa mapana ya Nchi ili hata mama Hangaya na yeye apate ujumbe wake

Sio kukimbilia kuomba radhi. Na waandishi wetu wa habari walivyo punguani, hawakuweza hata kuuliza maswali yenye akili
 
“Kuvutana” ni neno subjective😊

Kazi ya Bunge sio kuomba misamaha hovyo kwa Serikali baada ya kuibua hoja. Ambacho angepaswa kufanya Job ni kureplay speech yake yote anayodai ni original then afafanue some of those controvesial remarks kwa manufaa mapana ya Nchi ili hata mama Hangaya na yeye apate ujumbe wake

Sio kukimbilia kuomba radhi. Na waandishi wetu wa habari walivyo punguani, hawakuweza hata kuuliza maswali yenye akili
Anajua aliyoongea ni ya uongo,kama mnavyozusha humu kwamba nusu ya mkopo umeenda Zanzibar baada ya sakata la til.1.3 kubuma sasa mumekuja na lingine.
 
Mungu yupi wanayekwenda kumuomba?
Si Hangaya na wenzake hawataki kumupa Mungu utukufu kwa kuiponya nchi na Corona,mnajifanya Kuna wimbi la Corona ili muonekane wema kwa wazungu.
Tubuni Kwanza uovu huu, vinginevyo itakuwa makelele tu.
 
Nashauri siku hiyo nae aongozwe Sala ya Toba kwa utovu wa nidhamu aliouonesha kwa mamlaka kuu ya nchi. kwani ni kinyume Cha maandiko yanayotutaka kutii mamlaka.
N.B Pascal Mayalla alikua sahihi alivyosema kuhusu Bunge
 
Back
Top Bottom