Spika Ndugai: Tarehe 29/01/2022 Bunge litaongoza maombezi maalumu ya kuliombea taifa, mgeni rasmi atakuwa Rais Samia

Spika Ndugai ametangaza tarehe 29/01/2022 kuwa ni siku ya kuliombea taifa ili liwe na amani, mshikamano na ushirikiano.

Maombi yatafanyika bungeni na viongozi wote wa dini watakuwepo ambapo mgeni wa heshima atakuwa Rais wa JMT mh Samia.

Ndugai amesema utaratibu wa namna hii hufanywa na mabunge mengine huko duniani sisi tumechelewa tu.

Source: ITV habari
Maombi au Makelele ya Kisiasa

Bunge hili lililompiga risasi Mbunge wake na likamnyima matibabu ili afe hayo maombi watayaelekeza kwa Mungu yupi? Labda Mungu wa Mabaali
 
Spika Ndugai ametangaza tarehe 29/01/2022 kuwa ni siku ya kuliombea taifa ili liwe na amani, mshikamano na ushirikiano.

Maombi yatafanyika bungeni na viongozi wote wa dini watakuwepo ambapo mgeni wa heshima atakuwa Rais wa JMT mh Samia.

Ndugai amesema utaratibu wa namna hii hufanywa na mabunge mengine huko duniani sisi tumechelewa tu.

Source: ITV habari
Miaka yote alikuwa wapi? Au ndiyo anatafuta huruma ya Rais?
 
Watubu kwanza dhuluma walizofanya kwenye uchaguzi uliopita.

Wakumbuke wanaenda kumuomba Mungu sio sie wananchi waliozoea kutupiga na vitu vizito, huko hakuna kusema mambo kisha unasema haukueleweka vizuri.

Anajua kila kitu hata yale ya sirini, anajua wasiojulikana waliotekeleza uhalifu kwa wenzetu akina saa nane, TL na wengine wengi.

Nauluza tena, wanamaanisha kweli wanataka kufanya maombi au ni kutaka kututuliza na hizi sarakasi zao?
 
Spika Ndugai ametangaza tarehe 29/01/2022 kuwa ni siku ya kuliombea taifa ili liwe na amani, mshikamano na ushirikiano.

Maombi yatafanyika bungeni na viongozi wote wa dini watakuwepo ambapo mgeni wa heshima atakuwa Rais wa JMT mh Samia.

Ndugai amesema utaratibu wa namna hii hufanywa na mabunge mengine huko duniani sisi tumechelewa tu.

Source: ITV habari
Acha iendelee kunyesha tuzidi kujua panapovuja
 
Spika Ndugai ametangaza tarehe 29/01/2022 kuwa ni siku ya kuliombea taifa ili liwe na amani, mshikamano na ushirikiano.

Maombi yatafanyika bungeni na viongozi wote wa dini watakuwepo ambapo mgeni wa heshima atakuwa Rais wa JMT mh Samia.

Ndugai amesema utaratibu wa namna hii hufanywa na mabunge mengine huko duniani sisi tumechelewa tu.

Source: ITV habari
spika butu
 
nawasihi viongozi wa kanisa katoliki msishiriki uovu huo huko ni kumkejeli Mungu na Mungu hakejeliwi.
Mtu amekejeli Kanisa kwa kusali sala ya toba kinafiki mahali pasipostahili halafu anamwita kiongozi gani wa Kikatoliki ashiriki ujinga wake? Utaratibu wa toba wa Kikatoliki unaulikana, pale kwa waandishi wa habari wa dini mchanganyiko Sala ya toba imepokelewa na Nani?
"Nimekosa Mimi, nimekosa sana, ndo maana nakuungamia.....!? Kweli!!?
 
Back
Top Bottom