johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Spika Ndugai amesema askofu Gwajima asijione kwamba yeye ndio anaijua sana dini kwani wengi wanajua dini lakini wako kimya.
Ndugai amesema yeye mwenyewe amewahi kuwa mshauri wa askofu mkuu wa Anglican duniani pale Uingereza
Kadhalika amesali kwa TB Joshua kwa muda mrefu na sasa huwa anaenda Israel mara kwa mara na juzi kati alikuwa huko na Mwalimu Mwakasege
Source TBC
Ndugai amesema yeye mwenyewe amewahi kuwa mshauri wa askofu mkuu wa Anglican duniani pale Uingereza
Kadhalika amesali kwa TB Joshua kwa muda mrefu na sasa huwa anaenda Israel mara kwa mara na juzi kati alikuwa huko na Mwalimu Mwakasege
Source TBC