Spika Ndugai avishukia vyama vinavyokusanya mapato kama TRA

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,878
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.
 
Yeye anataka kuwa msajili,hiyo ni katiba ya chama na wanachama wameikubali,yeye kama nani wa kuhoji,na hayo makato yanalipwa na si kukatwa juu kwa juu.Maana yake mtu bila kushikiwa visu anaenda kulipa asilimia 10 .Ndugai ni hovyo kabisa
 
Kila chama kinautaratibu wa kujiendesha,hiyo ni kuingilia majukumu ya chama kingine.hata nyerere na kambona walichangisha michango mingi sana kipindi hicho chama kikiwa bado kichanga.
Chadema na vyama vingine vya upinzani vingi bado vichanga kimri ukilinganisha na CCM ambacho kimeji attach serikalini hata katika kujiendesha.
 
I
Spika ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya serikali

Amesema kunabaadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya serikali
Iyo si iko kwa mjibu wa katiba yao wala iyo hoja ni nyepesi

Katiba za vyama zipo na zimekuopo so kipindi chote mlezi wa vyama vya siasa mbona hakui kulisema kama lipo na kinyume cha katiba?lakini wamepita maspeeker wangapi mbona hawakuwai kuhoji,na je kama Mgombea yoyote aliona hicho kipengele hakitaki why aligombea pitia chama hicho,au walimfunga kamba?

Mambo mengine ni kuyaacha tu na wala si dhani kama hilo linampact . cha msingi kila mbungu ahanze kupambana na hali yake kwamba je atarudi ,uchaguzi wa mwaka huu sio CCM au CHADEMA mtaludi wachache bungeni maana hata mbeleko kuna mda hukatika wananchi tunawachora tu subilin
 
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.
Pole sana ndg Ndugai, kuweweseka ni dalili ya tatizo la afya ya akili.
 
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.

Hivi hiyo katiba ya CHADEMA kaisikia leo? Msajili wa vyama hana hiyo katiba?
Je siku zote hawakuona hicho kipengele?
 
Vipi kuhusu CCM ilivyopola viwanja vya michezo,maeneo ya wazi na majengo mbalimbali hapa nchini?
 
CCM inatumia majengo, magari, watumishi wa serikali vyama vingine havisemi. CCM Ina Kila inachokiitaji toka serikalini lakini hivi vyama vingine viko kimyaaaaa.
 
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.
Ni kweli hiyo Ni taxable income
 
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.

Amwambie Mamwambie Mwenyekiti Wake wa chama,chama asiwe anakusanya Ada za kila Mwaka.uanachama.
 
Spika Ndugai amesema kuwa chama kukata wabunge wake sehemu ya mapato yao ni kuichukua kodi ya Serikali

Amesema kuna baadhi ya vyama vimeweka kwenye masharti na kanuni katika Katiba zao kwamba asilimia 30% ya mapato ya Mbunge yatakuwa yanaingia kwenye chama

Ameyasema hayo kumuambia Waziri wa Fedha, Dr. Philip Mipango ili kuangalia namna ya kushughulikia hilo

Pia amesema ni muhimu kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kufuatilia hilo kwa kuwa hayo ni mapato ya Serikali.

Tunakumbuka shuka
 
Back
Top Bottom