johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Spika Ndugai ameiagiza kamati ya bunge ya Huduma za Jamii kulifuatilia swala la Uvujaji wa mitihani ya vyuo vya uuguzi.
Ndugai amesema tukiwachekea wezi wa Mitihani taifa litaangukia mikononi mwa wataalamu wasio na sifa yaani VIHIYO!
Chanzo: ITV habari
Ndugai amesema tukiwachekea wezi wa Mitihani taifa litaangukia mikononi mwa wataalamu wasio na sifa yaani VIHIYO!
Chanzo: ITV habari