johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Spika Ndugai pamoja na wabunge wote walioenda Misri kuishangilia Taifa stars wamerejea na kutoa shutuma nzito kwa kocha Amunike.
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Nkamia amesema aliongea na Rais wa shirikisho la soka la Nigeria aliyemhakikishia kuwa Amunike siyo kocha na kwamba kama TFF wangeomba ushauri basi wangewakataza kuingia mkataba na kocha Amunike.
Naye mh Bulembo amedai kuwa Amunike si lolote wala chochote na kwamba wabunge wengi walishikwa na tumbo la " kuendesha" kwa namna timu yetu ilivyokuwa inaboronga.
Spika Ndugai amesema wataongeza bajeti ya michezo katika bunge lijallo ili michezo ianze kufundishwa mashuleni.
Source Clouds tv!
Maendeleo hayana vyama!
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Nkamia amesema aliongea na Rais wa shirikisho la soka la Nigeria aliyemhakikishia kuwa Amunike siyo kocha na kwamba kama TFF wangeomba ushauri basi wangewakataza kuingia mkataba na kocha Amunike.
Naye mh Bulembo amedai kuwa Amunike si lolote wala chochote na kwamba wabunge wengi walishikwa na tumbo la " kuendesha" kwa namna timu yetu ilivyokuwa inaboronga.
Spika Ndugai amesema wataongeza bajeti ya michezo katika bunge lijallo ili michezo ianze kufundishwa mashuleni.
Source Clouds tv!
Maendeleo hayana vyama!