Spika Makinda ni lulu ya wabunge "waumwa akili"

Mcheza Karate

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
690
350
Kuna mengi yanasemwa kuhusu spika makinda kwa kuonyesha upendeleo wa wazi na dhati kwa serikali na chama tawala(CCM). Lakini la muhimu ni kufahamu kuwa spika makinda aliteuliwa kwa sifa zipi? Makinda aliteuliwa kwa sifa mbili kuu mosi ni "jinsia" na ya pili ni "utii" kwa chama chake. Mkinda angekuwa spika ule mwaka 1995 angekufa kwa presha. Mfano siku ya kuapishwa pius msekwa Masumbuko lamwai na Mabere marando wakiwa NCCR-mageuzi walimsumbua msekwa kwa kukataa kipo chake mara mbili mara ya tatu wakaridhia. Je makinda angeweza kwa kasi ile? Anachokifanya Makinda ni kusoma "gazeti" tu mbunge wa CCM akichangia au kutoa hoja lakini akisimama wa CHADEMA kutoa au kuchangia hoja na akaihoji serikali huinuka na kupiga yowe THIBITISHAAAAAAAA!!!!!!! Kwa tabia yake hiyo amejizolea marafiki wengi ni wale wavivu wa kutafakari. Kwa kweli MAKINDA ni lulu ya wanaoumwa akili na sio wale wenye weledi. Labla atabadilikaaa!!!
 
Hahahahaaaaaaaaa........nipo ndani ya daladala mada yako imenifanya nishindwe kuvvumilia NIMECHEKA,asante sana kwa sridi yako
bek to the topic:CHAMA MBELE THEN NCHI NYUMA,maamuzi yeyote yatakayopitishwa na BUNGE.hayatamuathiri Bi Kiroboto
 
Tehe tehe tehee kumbe A.K.A YAKE NI BI KIROBOTO KWELI JINA HL LIMEMFANANIA KAMA VILE NI LA UBATIZO
 
Kuna mengi yanasemwa kuhusu spika makinda kwa kuonyesha upendeleo wa wazi na dhati kwa serikali na chama tawala(CCM). Lakini la muhimu ni kufahamu kuwa spika makinda aliteuliwa kwa sifa zipi? Makinda aliteuliwa kwa sifa mbili kuu mosi ni "jinsia" na ya pili ni "utii" kwa chama chake. Mkinda angekuwa spika ule mwaka 1995 angekufa kwa presha. Mfano siku ya kuapishwa pius msekwa Masumbuko lamwai na Mabere marando wakiwa NCCR-mageuzi walimsumbua msekwa kwa kukataa kipo chake mara mbili mara ya tatu wakaridhia. Je makinda angeweza kwa kasi ile? Anachokifanya Makinda ni kusoma "gazeti" tu mbunge wa CCM akichangia au kutoa hoja lakini akisimama wa CHADEMA kutoa au kuchangia hoja na akaihoji serikali huinuka na kupiga yowe THIBITISHAAAAAAAA!!!!!!! Kwa tabia yake hiyo amejizolea marafiki wengi ni wale wavivu wa kutafakari. Kwa kweli MAKINDA ni lulu ya wanaoumwa akili na sio wale wenye weledi. Labla atabadilikaaa!!!
Bi Kiroboto ni mchumia tumbo tu! anaogopa yasije mpata yaliyompata SS bosi wake wa zamani. Bi Kiroboto ni pandikizi la mafisadi. Alikiri mwenyewe alifuatwa na RA hadi njombe hajasema alikatiwa ngapi na huyu "KINGSMAKER"
 
Hahahahaaaaaaaaa........nipo ndani ya daladala mada yako imenifanya nishindwe kuvvumilia NIMECHEKA,asante sana kwa sridi yakobek to the topic:CHAMA MBELE THEN NCHI NYUMA,maamuzi yeyote yatakayopitishwa na BUNGE.hayatamuathiri Bi Kiroboto
Hahahahahahaaaaa! Umenifurahisha sana mkuu!
 
Back
Top Bottom