Spika makinda apangua vibaraka wa sitta

koo

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
258
67
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa kuwahamisha wale wote waliokuwa wanaunga mkono mapambano dhidi ya ufisadi.
Chanzo kimejuza kwamba tayari watumish kumi na mbili wameshapokea barua ya uhamisho kwenda maeneo mengine nje ya dodoma.
Pamoja na watu wengine yumo pia mhasibu mkuu wa bunge, Mkaguzi wa ndani na wasaidizi kadhaa wa katibu wa bunge.
Chanzo kimejuza kwamba Mh spika aliapa kuwasambaratisha wale wote aliowaita yeye kama wafuasi wa sita na wanaovujisha siri za ofisi ya spika.
 
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa kuwahamisha wale wote waliokuwa wanaunga mkono mapambano dhidi ya ufisadi.
Chanzo kimejuza kwamba tayari watumish kumi na mbili wameshapokea barua ya uhamisho kwenda maeneo mengine nje ya dodoma.
Pamoja na watu wengine yumo pia mhasibu mkuu wa bunge, Mkaguzi wa ndani na wasaidizi kadhaa wa katibu wa bunge.
Chanzo kimejuza kwamba Mh spika aliapa kuwasambaratisha wale wote aliowaita yeye kama wafuasi wa sita na wanaovujisha siri za ofisi ya spika.

huyu mama sura-mbaya huwa ananitiaga hasira na misimamo yake ya kikatili!! lakini acha nisichangie, nitapigwa ban bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa kuwahamisha wale wote waliokuwa wanaunga mkono mapambano dhidi ya ufisadi.
Chanzo kimejuza kwamba tayari watumish kumi na mbili wameshapokea barua ya uhamisho kwenda maeneo mengine nje ya dodoma.
Pamoja na watu wengine yumo pia mhasibu mkuu wa bunge, Mkaguzi wa ndani na wasaidizi kadhaa wa katibu wa bunge.
Chanzo kimejuza kwamba Mh spika aliapa kuwasambaratisha wale wote aliowaita yeye kama wafuasi wa sita na wanaovujisha siri za ofisi ya spika.

Always you should struggle to reduce the number enemies so as you will live longer. Ukianza kulipa visasi, wewe, kizazi chako, dungu au jamaa zako watalipishwa visasi hivyo hivyo kwani chain ya visasi ni haishi ila tu kwa mmoja kuachana na visasa. Huwa nasikitika sana ninaposikia viongozi wanakuwa na moyo wa visasi wakipata uongozi kwa watu waliowapinga wakati wa mchakato wa uchaguzi. Lazima wakubalie kwamba ule huwa ni uchaguzi ambao watu wanakuwa na watu wao. Kiongozi bora anaposhinda ni vema akawakubali wote, waliomchagua na wasiomchagua na kuepusha visasi. Auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga.
 
Anyway,kila utawala una mambo yake na huwezi kukubali kufanya kazi na watu wanao kupinga,....honestly kwa title ya thread sioni kosa kwa yeye kufanya hivo!

Assume Dr.Slaa awe raisi afu amuache salva rweyemamu kuwa msemaji wa ikulu inakuja kweli?
 
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa kuwahamisha wale wote waliokuwa wanaunga mkono mapambano dhidi ya ufisadi.
Chanzo kimejuza kwamba tayari watumish kumi na mbili wameshapokea barua ya uhamisho kwenda maeneo mengine nje ya dodoma.
Pamoja na watu wengine yumo pia mhasibu mkuu wa bunge, Mkaguzi wa ndani na wasaidizi kadhaa wa katibu wa bunge.
Chanzo kimejuza kwamba Mh spika aliapa kuwasambaratisha wale wote aliowaita yeye kama wafuasi wa sita na wanaovujisha siri za ofisi ya spika.

kwake ni move nzuri... ofisi zetu zina matatizo ya kuogopana, unafiki majungu, uchawi na uzandiki BUT IT IS A VERY SHORT TERM SUCCESS

WATAKAOFAIDIKA NI WAPIANAJI KWANI WABEBA MAFISADI WAKIKAA JIKONI, BUNGE LITAMSHINDA MAMA MAKINDA, CDM, NCCR, CCM WASAFI WOTE WATAAMKA NA KUWA KITU KIMOJA

MAMA MAKINDA - MCHIMBA KISIMA, HUINGIA MWENYEWE!!!
 
Jamani msimseme sana huyo mama akiamua kujinyonga shauri yenu!! pamoja na kwamba anaudhi lakini tumsamehe kwa bure!!
 
sasa mnataka ofisi yake binafsi asiwe na watendaji anaowaamini na ambao wanafahamu namna ya kushughulikia kazi zake? wale waliletwa na Sitta walitakiwa kuondoka naye na hilo walilijua sasa kuna lipi la kujadili hapa?
 
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa kuwahamisha wale wote waliokuwa wanaunga mkono mapambano dhidi ya ufisadi.
Chanzo kimejuza kwamba tayari watumish kumi na mbili wameshapokea barua ya uhamisho kwenda maeneo mengine nje ya dodoma.
Pamoja na watu wengine yumo pia mhasibu mkuu wa bunge, Mkaguzi wa ndani na wasaidizi kadhaa wa katibu wa bunge.
Chanzo kimejuza kwamba Mh spika aliapa kuwasambaratisha wale wote aliowaita yeye kama wafuasi wa sita na wanaovujisha siri za ofisi ya spika.

Tafadhali leta habari yenye uhakika na wala si kuleta majungu. Tupe source ya informations zako acha majungu.
 
Anyway,kila utawala una mambo yake na huwezi kukubali kufanya kazi na watu wanao kupinga,....honestly kwa title ya thread sioni kosa kwa yeye kufanya hivo!

Assume Dr.Slaa awe raisi afu amuache salva rweyemamu kuwa msemaji wa ikulu inakuja kweli?
Ni kweli huwezi ukafanyakazi au kupata ushirikiano na watu wasiokupenda
 
Baada ya kusoma topic hii nimempigia simu rafiki yangu mmoja wa Ofisi ya Bunge kupata ukweli huo, taarifa zilizopo kule mjengoni ni kuwa waliopata uhamisho ni watu wawili tu yaani mhasibu mkuu na internal auditor wao. Tena yasemekana kuwa wengi wamelifurahia jambo hilo kwa sababu ndio channel za ulaji wa vigogo wa bunge pamoja na spika aliyepita. Si kweli kuwa wafanyakazi 12 wamepewa barua huo ni uzushi, na mama Spika kama atafanya hivyo sidhani kama itamjenga. Mwanzilishi wa topic hii kama ana data azimwage hapa tuzifanyie kazi na si kumzushia mtu vitu vya uongo kwa kuwa mtazamo wako ni tofauti. Kila kiongozi hutengeneza safu yake, mwacheni apange timu yake akishindwa ndio tumrushie madongo. Tuanajuaje labda haya mapungufu tunayoyaona kwake ni kutokana na kuwa na timu inayomhujumu? maana Bunge kama taasisi hafanyi kazi peke yake ana washauri ambao ni watendaji wa bunge wakuu, kama bado wapo royal kwa spika aliyepita kwa nini asitafute anaodhani watamsaidia? Tumpe muda jamani.
 
Baada ya kusoma topic hii nimempigia simu rafiki yangu mmoja wa Ofisi ya Bunge kupata ukweli huo, taarifa zilizopo kule mjengoni ni kuwa waliopata uhamisho ni watu wawili tu yaani mhasibu mkuu na internal auditor wao. Tena yasemekana kuwa wengi wamelifurahia jambo hilo kwa sababu ndio channel za ulaji wa vigogo wa bunge pamoja na spika aliyepita. Si kweli kuwa wafanyakazi 12 wamepewa barua huo ni uzushi, na mama Spika kama atafanya hivyo sidhani kama itamjenga. Mwanzilishi wa topic hii kama ana data azimwage hapa tuzifanyie kazi na si kumzushia mtu vitu vya uongo kwa kuwa mtazamo wako ni tofauti. Kila kiongozi hutengeneza safu yake, mwacheni apange timu yake akishindwa ndio tumrushie madongo. Tuanajuaje labda haya mapungufu tunayoyaona kwake ni kutokana na kuwa na timu inayomhujumu? maana Bunge kama taasisi hafanyi kazi peke yake ana washauri ambao ni watendaji wa bunge wakuu, kama bado wapo royal kwa spika aliyepita kwa nini asitafute anaodhani watamsaidia? Tumpe muda jamani.

Nimependa sana ulivyojitahidi kufuatilia ukweli, Akhsante sana maana humu tumeshageuka kijiwe cha Majungu kama vile watu hawana kazi ya kufanya kila kukicha kupika Gossip jipya
 
sasa mnataka ofisi yake binafsi asiwe na watendaji anaowaamini na ambao wanafahamu namna ya kushughulikia kazi zake? wale waliletwa na Sitta walitakiwa kuondoka naye na hilo walilijua sasa kuna lipi la kujadili hapa?

REKEBISHA HIYO SI (OFISI YAKE BINAFSI) NI OFISI YA UMMA WA WALIPA KODI WA TANZANIA,si vema anavyoitumia kwa maslahi binafsi.na walio lazimisha kwa nguvu ya ziada,ili kumsimika hapo.
 
Anyway,kila utawala una mambo yake na huwezi kukubali kufanya kazi na watu wanao kupinga,....honestly kwa title ya thread sioni kosa kwa yeye kufanya hivo!

Assume Dr.Slaa awe raisi afu amuache salva rweyemamu kuwa msemaji wa ikulu inakuja kweli?

Support!!!
 
sasa mnataka ofisi yake binafsi asiwe na watendaji anaowaamini na ambao wanafahamu namna ya kushughulikia kazi zake? wale waliletwa na Sitta walitakiwa kuondoka naye na hilo walilijua sasa kuna lipi la kujadili hapa?

Poor you!!! This is how the public office should be run? You mean each and every public officer once he/she assumes the new office should be transferring employee and bring new ones who are said to be royal to him/her? An employee should be royal to the office not to an individual.

Upumbavu mtupu!!!!

Tiba
 
Anyway,kila utawala una mambo yake na huwezi kukubali kufanya kazi na watu wanao kupinga,....honestly kwa title ya thread sioni kosa kwa yeye kufanya hivo!

Assume Dr.Slaa awe raisi afu amuache salva rweyemamu kuwa msemaji wa ikulu inakuja kweli?



Hapana mkuu, nadhani spoils system haifanyi kazi hivo. Kuna baadhi ya nafasi anapoingia boss mpya ni wazi atawabadilisha watendaji wake hasa wale watendaji wa kisiasa. Lakini hii haiwi sahihi kwa matechnocrats hawa mara nyingi hufanya kazi na boss awaye yeyote yule otherwise kama hao matechnocrats walikua politicised enough kiasi wakaacha political neurality wanayopaswa kuwa nayo. Kwa mfano wa Salva hauingii hapa kwani hafit category hii kidogo yeye ni mfano wa nafasi ambazo boss mpya anapaswa kubadilisha kwani nafasi yake ina play more or less political (propaganda/ideological)roles
 
Anyway,kila utawala una mambo yake na huwezi kukubali kufanya kazi na watu wanao kupinga,....honestly kwa title ya thread sioni kosa kwa yeye kufanya hivo!

Assume Dr.Slaa awe raisi afu amuache salva rweyemamu kuwa msemaji wa ikulu inakuja kweli?

Unafiki tu! Huyu mama si ndiye aliyekuwa Naibu spika. Kwani watumishi hawa walikuwa ni wa Sitta? Ilikuwaje afanye kazi nao miaka yote na sasa ndo aonyeshe hawataki. Basi ni unafiki wake!
 
Kwanza ukitaka kujua sifa ya mwanamke awe ameolewa na anaishi maisha ya ndoa na sio uhawara.
Pili kuna vyeo by definition lazima uwe respected and socitey to accept you and not mafia mob.
Tatu any promotion in working area because of nyumba ndogo au kada au kabila au dini ni hatari
hakuna utachodeliver zaidi ya kumsifia PM Mizengo apigiwe makofi then MB Lema anadai haki ambayo
unashindwa kuitimiza.
 
Back
Top Bottom