Spika wa bunge Anne Makinda amelaani vyombo vya habari Tanzania kumkalia kooni kwamba amekuwa akipendelea wabunge wa CCM bungeni na kukandamiza wale wa CDM.
Makinda amesema kinachosumbua waandishi wa habari hawazijui kanuni za bunge na kuwashauri wazisome.Amesema kelele za waandishi wa habari kamwe hazimtishi na ataendelea kutumia kanuni kudhibiti nidhamu ndani ya bunge.
Source:Nipashe Uk 3
Makinda amesema kinachosumbua waandishi wa habari hawazijui kanuni za bunge na kuwashauri wazisome.Amesema kelele za waandishi wa habari kamwe hazimtishi na ataendelea kutumia kanuni kudhibiti nidhamu ndani ya bunge.
Source:Nipashe Uk 3