Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Mkuu, usihofu. Kuna CCTV kali kuliko hiyo,na hakuna wa kuifunika,nayo ni MUNGU.Wauaji wa Lissu wanajulikana na wao wanajua kama tunawajua ndio maana hawajawahi hata kwenda kumsalimia, wakazuia hela ya matibabu na wakaondoa CCTV camera kwenye eneo la tukio ili wasiumbuke