Yup,ni kweli Spika amesisitiza kuwa, kama hali hiyo itaendelea basi ni heri waziri mkuu huyo asiwe anaingia kabisaa bungeni,abaki ktk ofisi zake za nje ya bunge hali akiendelea kutatua matatizo hayo matatizo ya wabunge!
Saiz,Imekuwa kama ni utamaduni kwa wabunge na mawaziri kwenda alipokaa Mh. Pinda na kuanza kusema nae wakati sessions za bunge zikiendlea mpaka ina-bore......na ndo maana imefika hatua baadhi ya wabunge wamefikia ata kughushi sahihi ya Pinda kwa kuandika messsages za uongo kwa wabunge wenzao zinazosema kuwa mbunge fulani anahitajika haraka sana na W/mkuu kuna jambo mhimu la kuongea nae na wakati sivyo!!. Hayo yamemtokea kwa Mb. Selasini hivi juzi......
Ukweli Kwa leo Makinda ameonyesha kuwa meno anayo!