useme leo basi chamadolaNilishawapa ushauri humu ndani mkashindwa kutekeleza!
Raisi kishasema tunasonga mbere, kama huwezi achia ngazi waajiriwe wengineNimeshangaa sana aiseh!!
Spika ndugai kalikataa hilo awali akidai hiyo baruya katibu mkuu sio awali la kisera tena akidai maswali hayo ni mengi.
Utata wangu ni huu
Hivi ndugai ni waziri au spika?
Hivi inakuwaje MTU hujaulizwa unajibu je, ukiulizwa utafanya nini?
Hivi hajui kuwa hilo swali lilikuwa muhimu kwetu wafanyakazi kujua hatma ya haki zetu tulizozikosa for two solid years?
Kiukweli vitu hivi vinatuboa sana
Source TBC1 bungelive @0920hrs
Amesema wewe kama bado upo hapo kitunduni Lumumba hakikisha unachukua buku saba zako kabla ya kuingia kazini kwani kifuru fumbi cha Zimbabwe kiko njiani kuja hapo lumumba
Amesema Mugabe ameondolewa na JESHI kutumia vifaru vinne na ccm Lumumba mtatolewa na wafanyakazi na wakulima wakitumia vizuri jenbe na nyundo zao walizoshikiria zàidi ya miaka arobaini (1977-2017) mikononi mwao
Jamani hivi mnafahamu maana ya nchi kufirisika ?Nimeshangaa sana aiseh!!
Spika ndugai kalikataa hilo awali akidai hiyo baruya katibu mkuu sio awali la kisera tena akidai maswali hayo ni mengi.
Utata wangu ni huu
Hivi ndugai ni waziri au spika?
Hivi inakuwaje MTU hujaulizwa unajibu je, ukiulizwa utafanya nini?
Hivi hajui kuwa hilo swali lilikuwa muhimu kwetu wafanyakazi kujua hatma ya haki zetu tulizozikosa for two solid years?
Kiukweli vitu hivi vinatuboa sana
Source TBC1 bungelive @0920hrs
Lini umewahi kumsikia akihiji na kutetea Watumishi wa Umma?Leo sidhani kama alikuwepo illa hili swali la mama Suzan Lyimo ni moja ya maswali niliyokuwa nataka KUB ayaulize.
Kuhusu niniMuulize DPP!!
Kwan uhakiki umeisha?
Ushindwa na ulegeeKwan uhakiki umeisha?