Utajiri utausikia kwa watu tu Kama unaogopa kudaiwa.Hakuna kitu sipendi maishani kwangu kama kudaiwa au kuwa na deni
Wanasema masikini sikuzote ndivyo walivyoHakuna kitu sipendi maishani kwangu kama kudaiwa au kuwa na deni
Taja Bank ambayo SSB kaenda kuomba capital.Kudaiwa ni motivation ya kufanya kazi kwa bidii huoni hata kina bakhressa wana mahela kibao kulipia biashara mpya wanazoanzisha ila bado wanaombaga capital bank!
Utajiri utausikia kwa watu tu Kama unaogopa kudaiwa.
Sio kudaiwa nyanya na nazi kwa muuza genge.
haahhaahahaahaha, January ya counter book na soksi hahahahahaHahah mkuu mbona umejibu kinyonge hiyo!!!??
Hahah nilisahau, kumbe ni January hii mkuu ....
Kudaiwa ni motivation ya kufanya kazi kwa bidii huoni hata kina bakhressa wana mahela kibao kulipia biashara mpya wanazoanzisha ila bado wanaombaga capital bank!
Taja Bank ambayo SSB kaenda kuomba capital.
hakikaNi balaaa mambo ni moto... watu wanakuwa wapole sana