Speed ya Internet ya tiGO inatisha

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2010
Posts
2,415
Reaction score
398

Haya mliokuwa mkibisha tizameni speed nayoipata ni 2.81mbps.

hapa imeshuka hadi 2.50mbps.

Hapa imeshuka tena hadi 2.42mbps, ambako haishuki shini zaidi ya hapa iwe asabuhi au usiku speed inakuwa hivi hivi.

Hii ni IP Adress ya tiGO ....

Hapa nilikuwa napima speed nayoipata wakati na download,
ambayo download speed ni 2358 kbps,
(294.8 KB/sec transfer rate)

Kuna mdau hapo juu amesema kufikisha speed ya 100KBps ushukuru Mungu, wakati mimi speed yangu ya kudownload ni 294.8 KB/sec



...................................................................................................................................................................................................................................




Mkuu, shukrani sana kwa kuwapa ufafanuzi wa Kbps na KBps....

Mkuu, sina maelezo mengi sana ila ni kwamba nimejiunga na hii bundle tarehe 21/4/11 hivyo package yangu imeisha jana na nimejiunga tena leo asubuhi, na hadi sasa nimeshafikisha karibu 50GB, natumia kwenye desktop na laptop, na download zaidi kwenye desktop kwani uwa naicha usiku kucha ikidownload, hii picha hapa chini ni kutoka kwenye laptop.

 
Ukiangalia picha mbili za mwanzo utaona kuna ka pop up window, Ka-VUZE ambayo ni torrent download, inaonyesha speed ya jinsi inavyo shusha files.... Akika maisha ni matamu sana ukiwa na mtandao wenye speed... hadi siku hizi na hack vijiserver ushwara hah hah hah hah:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:







 
yeah ila inategemea na bundle ipi uliyo unganisha!
 
Kuna watu walikuwa wanabisha wanasema huwezi pata speed kama hii kwa Tanzania... nimejiunga na package ya standard mwezi tsh 45,000
 
weye brother unaesifu tigo umeunganisha bundle gani? na upo maeneo gani? au kwa kirefu zaidi umetumia HACK gani?
 
Kuna watu walikuwa wanabisha wanasema huwezi pata speed kama hii kwa Tanzania... nimejiunga na package ya standard mwezi tsh 45,000

hiyo standard mwezi limitations zake ni zipi?? unlimited nn'..
 
weye brother unaesifu tigo umeunganisha bundle gani? na upo maeneo gani? au kwa kirefu zaidi umetumia HACK gani?
Mkuu nimejiunga na package ya standard mwezi, ambayo nalipia tsh 45,000 kwa wezi. hack gani? yaani unataka kuniambia nimepata hiyo speed ya net kwa kuhack ma-router/server za tigo? hah hah hah hapana mkuu....Nipo maeneo ya tegeta na 3g, napata ka-bar 1 tu ka signal.
 
hiyo standard mwezi limitations zake ni zipi?? unlimited nn'..
Mkuu, mimi sijui cha limitations wala makorokoro mengine, mimi nimechukua net ya mwezi mzima na naipata hivyo hivyo na speed hiyo, hakuna limit kwenye download wala nini... kitu nikijuinga tarehe moja june kwisha kwake hadi tarehe moja july...

kwa mwezi na uwezo wakushusha hadi 40gb kama nikiikomalia.
 
Hebu fanyeni utafiti...fungua dashboard yako uone kwa pale chini speed inayoingia na kutoka, voda huwa inafika hadi 3.5 mbps lakini hebu jaribu kudonload kitu hata 200kbps haifiki mi huwa nashangaa kwa nini kwenye dashboard inasoma spidi kubwa halafu wewe mtumiaji unakuwa unapata spidi kidogo!
 

Mkuu, haiwezekani kwenye dashboard isome 3.5mbps alafu download speed yake isifike 200kb/sec, kama kwenye dashboard inafika 3.5mbps download speed yake itasheza kwenye 350kbps hiyo ndio inatakiwe iwe hivyo...na kama sivyo basi kutakuwa na vitu vingi vina tumia net yako kwenye computer....angalia Kwenye picha zangu hapa chini...




Ukiangalia kwenye dashboard yangu utaona napata speed ya 2.5mbps, na ukiangalia kwa juu yake upande wakushoto utaona pop window ya vuze ikidownload na speed yake ni 257KB/se ambayo inaendana na ile nayoipata kwenye dashboard ya tigo, kumbuka kunatofauti kati ya Kbps na KBps ninge kufafanunia zaid sema nakimbia sehemu... nitarudi baadae.
 
NOW NIMEKUPATA MKUU KITU KIDOGO SANA KILIKUWA KINANICHANGANYA NLIKUWA NADHANI Mbps na MBps ni sawa kumbe ni tofauti now i know the difference.
 
NOW NIMEKUPATA MKUU KITU KIDOGO SANA KILIKUWA KINANICHANGANYA NLIKUWA NADHANI Mbps na MBps ni sawa kumbe ni tofauti now i know the difference.

pamoja mkuu... Ukivijua hivi vitu havikupi shida kabisa mkuu... Ukweli na furahia maisha ya kimtandao kwa speed nayoipata inaniwezesha kufanya mambo mengi ya maana kwa wakati usika.
 
294.8 KB download for 45000??is too expencive brother,upload ikoje?mimi download ni 512kb na upload ni 245kb nalipa 37000 sawa na hela ya tanzania
 
Mkuu hebu dadafua kidogo tofauti ya kb/ps na kB/ps kisha linganisha hizo kila moja ni sawa na mb ngapi?
NOW NIMEKUPATA MKUU KITU KIDOGO SANA KILIKUWA KINANICHANGANYA NLIKUWA NADHANI Mbps na MBps ni sawa kumbe ni tofauti now i know the difference.
Nadhani ulikuwa unamaanisha kbps na kBps

Mara nyingi hata mimi dash board inaweza kusoma vizuri tu ila sasa unapokuja kuanza kudownload kitu labda kwa IDM au FDM au orbit au hata downloder ya browser, kamwe download speed haifiki huko kwenye mb/ps, mimi maranyingi net ikiwa imetulia labda 100+kb/ps. Na nikitumia torrent clients ndio kabisa, kupata 100kbps ni shida.

Au pengine napata hiyo speed lakini sijui kukokotoa mahesabu yake maana unasema kbps na kBps ni tofauti

Kwa ufahamu wangu ni kuwa
Inaposoma 2.5mbps maana yake ni magabits 2.5 zinadaunlodiwa kwa sekunde moja.
Na inaposoma 100kbps maana yake kilobits 100 zinakuwa downloaded within a second.
Sijui sasa unaposema 100kBps inakuwaje?

Kingine sijaelewa ni unaoanishaje speed inayosoma katika dashboard na speed halisi ninayoiona katika download manager, maana zinatofautiana mbali sanaaaaa

Tupe darasa mkuu
 
Wazo zuri kaka Dash board zingine zinakupa "ideal condition" lakini ukiwa unashusha mzigo hazisomi"real-time condition" so inategemea dash yako na setup yake... Tuwe makini hapa. kama unafungua e-mail inachukua zaidi ya dakika moja.hapo tumeingizwa mjini.... Keep researching...
 
yaani hapo ndo mnenifuruga kabisa Anko rukus...
 
Ngoja wateja wa internet waongezeke ndo utajua tiGO wakoje. Unashangilia ushindi kipindi cha kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…