chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,208
Dar internet ya TTCL inakata kata sana na speed yake ni ndogo sana kwanini?
Lakini huku Mbeya nimekuja jana lakini nimeona tofauti kubwa ya speed ya internet ukilinganisha na Dar hii ina maana gani huku Mbeya kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini huku Mbeya nimekuja jana lakini nimeona tofauti kubwa ya speed ya internet ukilinganisha na Dar hii ina maana gani huku Mbeya kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app