Speed ya halotel ni hatari saana

Speed ya halotel ni hatari saana

claudematemu

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
316
Reaction score
480
Halotel wako vizuri mnoo speed inasoma 35.8 mbsp
Screenshot_20211005-060826_Chrome.jpg
 
Hiyo ni 4.3 MB per sec tu...sio ya kustua mkuu au umepagawa na Mbs hizo?
 
4.3 ? Hapo umecalculate vip wakati inafika mpaka mbps 6 nikidownload
Speed ina flactuate...hyo uloshare 35Mb ni 4.3MBs tu..kwaiyo 6 unayofika nayo haigandi...so sio wabaya ila ni speed tulizozizoea sie wapenda speed nzur
 
4.3 ? Hapo umecalculate vip wakati inafika mpaka mbps 6 nikidownload
Kuna tofauti kati ya MB (Megabytes) na Mb (Megabits)

Mathematically

1MB = 8Mb

So hapo 35.8Mbps ÷ 8 = 4.475

Hapo ana speed ya (approximately)

[emoji117] 5MBps

Simu nyingi zinatumia kipimo cha internet speed meter ya Mbps, We mwambie tu a connect kwenye PC afu atumie ku download kitu na IDM afu alete speed ya IDM kama itakua sawa na hiyo.
 
Kuna tofauti kati ya MB (Megabytes) na Mb (Megabits)

Mathematically

1MB = 8Mb

So hapo 35.8Mbps ÷ 8 = 4.475

Hapo ana speed ya (approximately)

[emoji117] 5MBps

Simu nyingi zinatumia kipimo cha internet speed meter ya Mbps, We mwambie tu a connect kwenye PC afu atumie ku download kitu na IDM afu alete speed ya IDM kama itakua sawa na hiyo.
1Byte (B)= 8bits (b) and hence 1MB = 8Mb
 
Back
Top Bottom