Speech of President Kikwete at EITI Conference in Paris

Onyesha hizo grammatical errors na sisi tusiojua kizungu tuchangie.

[.........To date, because of the good work being done by Tanzania Mineral Audit Agency, we can confidently say that things have began to change and will continue to change for the better.........]
its supposed to be ....things have begun.......
 
1.I took the decision for Tanzania to join the EITI after appreciating the benefits my country would get from being a member.


2. At the beginning this service was outsourced from abroad and, in 2007 we established the Tanzania Mineral Audit Agency manned by Tanzanian nationals.

3. It is a great honour for me and my country...This sentence misses legs, it is not complete.
 
[.........To date, because of the good work being done by Tanzania Mineral Audit Agency, we can confidently say that things have began to change and will continue to change for the better.........]
its supposed to be ....things have begun.......

huyu awe anaongea kiswahili tu bana
 
daaah kweli nchi hii ina rais jamani ..khaaaaa sasa ndo akome kukimbilikimbilia kwenda kwenye mikutano ...vitu vyenyewe haelewi anajishauwa tu
 
hahaaa kweli mkwere ni mkwere tu...hivi huyu mzee kwa nini asiwe anaongea kiswahili tu???? Madam Chairman!!!! khaaaa

Chezo, hako ka mama si ni kale kaliko shupalia issue ya radar hadi chenji ikarudi, naona kafanya kusudi teh teh!!. Lakini Chairman inatumika both way fimenin na musculine so monsour presda was right!
 
Before that, mining companies were the only source of information and there was nobody to ascertain the veracity of the information. As such, everything simply depended on the integrity and trustworthiness of company officials.

Naonaga aibu kweli kuwa Mtanzania nikisikia upuuzi kama huu. Hivi hiyo wizara ya nishati na madini kazi yake ni nini? Miaka 50 ya uhuru bado tunafanya mambo ya kitoto kama hivi? Eti tunasimama mbele za watu na kusema we are very proud to be part of this group kwa kutuonyesha njia. Ni kila kitu lazima tuelekezwe na watu waupe? Hivi Afrika isingekuwa na utajiri na madini hawa watu si wangetufanya watumwa mpaka liamba. Si tungekujwa tunapiga deki vyoo vyao kwa ulimi. Eti "Once again, I would like to reaffirm Tanzania’s commitment to the EITI principles, standards and values." Wewe huna za kwako?? Kudadadeki, Where are OUR principles, standards and values? Toka hapa mpuuzi we!!!
 
Naonaga aibu kweli kuwa Mtanzania nikisikia upuuzi kama huu. Hivi hiyo wizara ya nishati na madini kazi yake ni nini? Miaka 50 ya uhuru bado tunafanya mambo ya kitoto kama hivi? Eti tunasimama mbele za watu na kusema we are very proud to be part of this group kwa kutuonyesha njia. Ni kila kitu lazima tuelekezwe na watu waupe? Hivi Afrika isingekuwa na utajiri na madini hawa watu si wangetufanya watumwa mpaka liamba. Si tungekujwa tunapiga deki vyoo vyao kwa ulimi. Eti "Once again, I would like to reaffirm Tanzania's commitment to the EITI principles, standards and values." Wewe huna za kwako?? Kudadadeki, Where are OUR principles, standards and values? Toka hapa mpuuzi we!!!

So true.
 
Inaonekana mwenyekiti alikuwa m-dada. Halafu president anatoa salamu kwamba "Madam Chairman", kwa nini asisema Chairperson? Kwa nini aseme ALL TANZANIANS badala ya Tanzaniansor some Tanzanians are happy?

Mambo mengine bwana, tunaaibishana!! Waziri wa Nishati au katibu mkuu wa wizara husika alitosha kabisa kufika kwenye kongamano hili jamani!!Anatuzalilisha jamani!!

Hatuwezi kupata maendeleo kwa kujiunga na kila taasisi inayoanzishwa duniani. Tutakuwa tunapoteza pesa nyingi kwa kuchangia mamilioni ya pesa kama ada za viingilio na michango ya kila mwaka kwa sababu ya kujiunga na kila taasisi inayoanzishwa duniniani!!

Maendeleo yetu tataletwa na matumizi sahihi ya madaraka katika nchi pamoja na matumizi sahihi ya elimu katika kupanga na kutekeleza maendeleo yetu.

Ifike mahali tuseme matumizi haya ya pesa kwa ziara zisizo na kichwa wala miguu yanachangia kudhoofisha maendeleo yetu. Ninabaini kwamba ziara hii haikuwa na mantiki yoyote kwa sababu hata kusafiri kwa Rais kulifanyika kinyemela mno!!.

Huku ni kujidhalilisha na kutudhalilisha watanzania.
 
for accepting Tanzania’s application for membership of the EITI.

I took the decision for Tanzania to join the EITI after appreciating the benefits my country would get from being a member. I am happy with the progress we have made so far in the process towards full membership. I wish we could get there earlier. But I appreciate your support and cooperation.

.....WHAT BENEFITS??????
 
"Excellencies Heads of State and Government present here today; " ...are the heads of only one state and government?
 
is this a positive step forward for Mineral development and extraction in TZ? I hope so. i am sure there are many decisions or steps that the country makes because of international cooperation, interventions, conventions etc hii sio ya kwanza. Discuss the contents of the speech and not the grammer, semantic etc. Inakua kama pale unapo present thesis and people start saying..mbona cover ina rangi ya green, mbona umeweka than instead of then, mbona title ndeefu n.k
 
Yaani hii fursa ilikuwa inamfaa zaidi mwenyekiti wa tume ya kudumu ya nishati na madini
 
Sioni value ya kupeleka rais na mawaziri wawili kwa ndege binafsi katika hilo kongamano. Kama hotuba yenyewe ni hiyo alishindwa kuisoma kamishna wa madini? Katibu mkuu? au hata huyo mwenye kulala lala hovyo kwenye mikutano? Nashindwa kuelewa mantiki ya kuwa na baraza la mawaziri na mfumo mzima wa utawala na utendaji katika wizara na sekta husika ikiwa rais ni lazima ahalalishe yeye kufanya kila kitu kinachohusiana na safari za nje. Ni aibu kubwa hii na ufujaji uliokithiri wa fedha za walipa kodi.
 
hivi ngeleja au membe wasingeweza kudeliver hii speech?

mtu mmoja alikua anatosha sana kuhudhuria huu mkutano..hela ingine ikaenda gongo la mboto
 
"Madam Chairman"!

Whats a problem? It shows how English is not our mother tongue and this in particular is a common mistake, mbona wazungu wakiongea ama kuandika kiswahili bofo hatuoni kama ni tatizo tunawaelewa kwamba siyo lugha yao? Ukoloni unabidi uondoke kichwani kwanza ndo mtu unapojitambua wewe ni nani mapungufu yako na strength zako..Ukitaka kujua strength ya lugha katika kumtawala mtu basi angalia nchi zilizo makini jinsi zinavyo sisitiza lugha zao kutumiwa na raia wao na lugha zingine wazifahamu kwa level ya kuweza ku communicate tu hata kwa kuunga unga....

Lugha ni nyenzo ya kumtawala mtu...ndiyo maana walokole tunanena kwa luga na baba yetu na kwa hiyo tunakuwa katika intimacy jambo ambalo mtu ambaye hana roho mtakatifu hawezi na ndiyo alama inayotutofautisha na na wengine siyo kuamua kujiita majina tu. So Rais ana ji identify kama mtanzania na kuwa hayuko tena chini ya himaya ya waingereza ndiyo maana hata lugha yao haifahamu...

Ole wenu ninyi na watoto wenu mliojikabidhi kwenye himaya za wakoloni wakiingereza ndiyo maana vizazi vyenu vya ona fahari kuongea lugha ya watu, kula vyakula vyao, kuvaa mavazi yao...hiyo hamjui ni market strategy poleni sana....
 
Ningependa kujua yafuatayo.

1. Kuna maraisi wangapi katika huo mkutano?
2. Delegation ya rais wetu ilikuwa na watu wangapi na ni kina nani, seen Ngelaja already
1. Membe afikiri yuko kwa nyuma ya JK kama sijakosea.

Duh, Tz tunajiaibisha kweli.
 
Back
Top Bottom