Am missing something here,sio kwenye speech ila that conference room,....yaani viti havitoshi au huyo jamaa anafanya nini hapo chini?
Wakubwa ile speech inatia huzuni, siyo ya rais, duh! hata sisi tulioshallow kwenye kiingereza wallahi siandiki hotuba kama ile cha KUNDIKA TU?
huyu baba lazima anamatatizo makubwa sana kichwaniJK: "Madam Chairman"
haina tofauti na ile cheque ya Exim
Mkwere bwana.
Akiambiwa kuna safari huwa hahariri hata presentation zake.
unatutia aibu JK
wazungu hawakumcheka kwa sababu walijua watatibua dili yao ya kuja kuvuna madini.
huyu baba lazima anamatatizo makubwa sana kichwani
juzi akilihutubia taifa kasema mabomu yalilipuka tar 17 feb
tena wiki hiyohiyo anasema madam chairman
hivi yeye huwa hatumii hata utashi wake tu kusahihisha upupu anaoandikiwa?
JK: "Madam Chairman"
haina tofauti na ile cheque ya Exim
Mkwere bwana.
Akiambiwa kuna safari huwa hahariri hata presentation zake.
unatutia aibu JK
wazungu hawakumcheka kwa sababu walijua watatibua dili yao ya kuja kuvuna madini.
"Madam Chairman"!