Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,849
- 2,628
Weka ka picha kidogo.
Ukiyapata uni PM naona kipara kinasogea na meno yameanza kulegea pia .
Nywele nene zokoje?Natumai nimeelewake.
Naomba kuwasilishwa.
Aaiise mkuu unataka kuutua mafuta ya nyangumi yanapatikana wap ,,unataka watu wanze uvuvi wa nyangumi maana wanawake buanahmafuta ya NYANGUMI asee yatafute ni bora sana kwa kipilipili cha juu na hata kile cha chini
Nmefanya mara moja ngoja nifanye kama mara 3 ndo ntajua matokeoWe [HASHTAG]#Nyankunzi[/HASHTAG] hiyo kitu ilikusaidia?
Yes Hao niliowatajaKumbe ni mtaalam ee