Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,492
- 2,357
Habari waungwana,
Baada ya kuona threads nyingi za watu wakiomba ushauri na miongozo juu ya kozi mbalimbali na uwezekano wa wao kudahiliwa katika vyuo vya ndoto zao, nimeona uzi huu ukutanishe watu wote (waulizaji na wenye kuyajibu)
Ushirikiano wenu ni muhimu, Karibuni
Baada ya kuona threads nyingi za watu wakiomba ushauri na miongozo juu ya kozi mbalimbali na uwezekano wa wao kudahiliwa katika vyuo vya ndoto zao, nimeona uzi huu ukutanishe watu wote (waulizaji na wenye kuyajibu)
Ushirikiano wenu ni muhimu, Karibuni