Special thread kwa wana Maabara ( Medical Lab ).

Special thread kwa wana Maabara ( Medical Lab ).

billgate98

Member
Joined
May 10, 2018
Posts
54
Reaction score
28
Uzi huu upo kwa lengo la kuwaunganisha wana Maabara wote.
Karibuni.
- uliza chochote kuhusu fani hii
- Na wale mnaoingia mara hii katika fani hii karibuni pia.
 
Naomba kujua fani hii inahusiana na nini
 
Anayefanya kazi katika maabara ya binadamu(diagnostic lab) anaitwaje kiingereza?iwe binafsi au hospitalini?

Anayekarabati au anayetengeneza vifaa vya maabara vilivyo na hitilafu anaitwaje?
 
Anayefanya kazi katika maabara ya binadamu(diagnostic lab) anaitwaje kiingereza?iwe binafsi au hospitalini?

Anayekarabati au anayetengeneza vifaa vya maabara vilivyo na hitilafu anaitwaje?
1. Medical lab technologist/scientist. (Huyu mfanykaz wa maabar ya afy ya binaadam)
2.Biomedical engineer . (Mtengeneza vifaa)
 
1. Medical lab technologist/scientist. (Huyu mfanykaz wa maabar ya afy ya binaadam)
2.Biomedical engineer . (Mtengeneza vifaa)
Asante mkuu,

1.Na tofauti ya medical lab technologist na medical lab technician ni ipi?

2.Je na medical lab assistant ni nani?
3.Medical lab attendant ni nani?

Samahani hizi terms hua zinanichanganya

Ahsante..
 
Back
Top Bottom