everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,741 Papupi said: Nataka tu nikukumbushe katika stats zangu sijawahi kupoteza fainali.. Click to expand... We have the same record......
Papupi said: Nataka tu nikukumbushe katika stats zangu sijawahi kupoteza fainali.. Click to expand... We have the same record......
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,742 Watu8 said: Kocha wa Chile ana mambo kama Marcelo Bielsa... Yaani muda wote yeye ni kutembea tembea tu kulia, kushoto... Click to expand... Hahaha Bielsa hapo anasubiri, Jamaa WC alikuwa anapiga misele kwenye hiyo area yake, uki-calculate unapata kuna wachezaji wa ndani amewazidi kilometres covered. Si mchezo
Watu8 said: Kocha wa Chile ana mambo kama Marcelo Bielsa... Yaani muda wote yeye ni kutembea tembea tu kulia, kushoto... Click to expand... Hahaha Bielsa hapo anasubiri, Jamaa WC alikuwa anapiga misele kwenye hiyo area yake, uki-calculate unapata kuna wachezaji wa ndani amewazidi kilometres covered. Si mchezo
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,743 Paulo Sergio De Souz said: Haha you hurt my feelings. Click to expand... Pole sana......
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,744 everlenk said: We have the same record...... Click to expand... Hahaha World Cup ulikuwa Ujerumani?
Meljons JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 3,105 Reaction score 1,409 Jul 5, 2015 #1,745 Samahanini dk ya ngapi?? Nimeachwa ndani mwenyewe
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,746 Paulo Sergio De Souz said: Hahaha World Cup ulikuwa Ujerumani? Click to expand... Hahahhaha!!! Si fainali yoyote kwani kataja ipi? Hata ya mchangani,ya kikapu, ya ngumi. ......lol
Paulo Sergio De Souz said: Hahaha World Cup ulikuwa Ujerumani? Click to expand... Hahahhaha!!! Si fainali yoyote kwani kataja ipi? Hata ya mchangani,ya kikapu, ya ngumi. ......lol
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jul 5, 2015 #1,747 Paulo Sergio De Souz said: Hahaha World Cup ulikuwa Ujerumani? Click to expand... Hahah.. utakosa mema ya nchi wewe, Kausha jifanye kama hauon
Paulo Sergio De Souz said: Hahaha World Cup ulikuwa Ujerumani? Click to expand... Hahah.. utakosa mema ya nchi wewe, Kausha jifanye kama hauon
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,748 Hapa utamu ni pale mashabiki wa United na Arsenal wataanza kugombania nani ameshinda hili kombe. Hehe Prem-faces bana
Hapa utamu ni pale mashabiki wa United na Arsenal wataanza kugombania nani ameshinda hili kombe. Hehe Prem-faces bana
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,749 Papupi said: Hahah.. utakosa mema ya nchi wewe, Kausha jifanye kama hauon Click to expand... Hahaha nimenyamaza.
Papupi said: Hahah.. utakosa mema ya nchi wewe, Kausha jifanye kama hauon Click to expand... Hahaha nimenyamaza.
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,750 23 minutes of ET already gone. 0-0 still.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,311 Reaction score 108,353 Jul 5, 2015 #1,751 Meljons said: Samahanini dk ya ngapi?? Nimeachwa ndani mwenyewe Click to expand... Dk 113 Chile 0 - 0 Argentina
Meljons said: Samahanini dk ya ngapi?? Nimeachwa ndani mwenyewe Click to expand... Dk 113 Chile 0 - 0 Argentina
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,752 Sanchez acha kulia wewe kaza mwili.....
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,753 Paulo Sergio De Souz said: Hapa utamu ni pale mashabiki wa United na Arsenal wataanza kugombania nani ameshinda hili kombe. Hehe Prem-faces bana Click to expand... Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. .......
Paulo Sergio De Souz said: Hapa utamu ni pale mashabiki wa United na Arsenal wataanza kugombania nani ameshinda hili kombe. Hehe Prem-faces bana Click to expand... Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. .......
N Non-Shatter JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 597 Reaction score 266 Jul 5, 2015 #1,754 Naona mko 12 uwanjani, hongereni. Pamoja na hayo leo vichwa vyenu chini. everlenk said: Sanchez acha kulia wewe kaza mwili..... Click to expand...
Naona mko 12 uwanjani, hongereni. Pamoja na hayo leo vichwa vyenu chini. everlenk said: Sanchez acha kulia wewe kaza mwili..... Click to expand...
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jul 5, 2015 #1,755 everlenk said: Sanchez acha kulia wewe kaza mwili..... Click to expand... Tatizo otamend linatisha na ile midevu yake kama yuda eskariot
everlenk said: Sanchez acha kulia wewe kaza mwili..... Click to expand... Tatizo otamend linatisha na ile midevu yake kama yuda eskariot
Meljons JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 3,105 Reaction score 1,409 Jul 5, 2015 #1,756 Watu8 said: Dk 113 Chile 0 - 0 Argentina Click to expand... Shukrani Watu8 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
N Non-Shatter JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 597 Reaction score 266 Jul 5, 2015 #1,757 Ya kwenye chupa au glass. Naona koo limekukauka kwa hofu. everlenk said: Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. ....... Click to expand...
Ya kwenye chupa au glass. Naona koo limekukauka kwa hofu. everlenk said: Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. ....... Click to expand...
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Jul 5, 2015 #1,758 Non-Shatter said: Naona mko 12 uwanjani, hongereni. Pamoja na hayo leo vichwa vyenu chini. Click to expand... Hamna kitu kama hicho Ile haikuwa halal......
Non-Shatter said: Naona mko 12 uwanjani, hongereni. Pamoja na hayo leo vichwa vyenu chini. Click to expand... Hamna kitu kama hicho Ile haikuwa halal......
N Non-Shatter JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 597 Reaction score 266 Jul 5, 2015 #1,759 Matuta yananukia hapa uwanjani.
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jul 5, 2015 #1,760 everlenk said: Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. ....... Click to expand... Hahaha pole mama. Argentina sio wakali kivile, wana vipaji ila havufanyi kazi kwa pamoja.
everlenk said: Naomba maji ya kunywa please.............Tuache unafiki leo Chile watamu zaidi. ....... Click to expand... Hahaha pole mama. Argentina sio wakali kivile, wana vipaji ila havufanyi kazi kwa pamoja.