Special Thread, COPA America 2015

Mbeleko litachanika wanapigwa kwanza tatu za chap chap kuwaweka sawa,kwanza mpaka hapo ni mafaniko kwao hawajawahi fika hiyo stage ....

Hahaha kila la kheri mama, mi nitakuwepo kukufariji tu mambo yakienda sio, mkishinda....even better.
 
Bora tungecheza na Brazil tu...... Ona sasa!!! Hii si netball sasa....hahahaha .....jeuri hii sasa...... Misifa gani hii Argentina mweeeee!!! Halafu semi final hahahahahahaha.....
 
Aiseeee!!!! Natumai wanakulipia kisasi kwa mbali.......hongera zao ......matokeo ni ngapi ngapi?

Heheheee nimefurahi sana maana bado nina kijiba cha roho na huyo Mkoloni kwa kunidhalilishia Brasil.

Sidhani kama ntakuja kuwasamehe hao Wajerumani:biggrin1:.
 
FT Arg 6- 1 Par

Poleni haters ........esp Papupi njoo nikufute machozi bas!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…