Special Thread, COPA America 2015

Hizi timu zinafanana mno mbinu za uchezaji.. yaani ni kama majina ya timu/nchi yanavyofanana
 

Mimi huwa ndo sielewi kitu hata ukiniambia niwataje watano tu nitachemka.......nimeskia kwa bahati mbaya eti hadi Uganda leo wametupiga 3 hii too much sasa......
 
Reactions: BAK
Nimeuona uzi humu few minutes ago ukidai baada ya matokeo haya kocha wa Taifa Stars katimuliwa, sasa Waziri wa michezo naye atimue timu yote ya uongozi wa TFF na kuitisha uchaguzi mwingine in 45 days.

Mimi huwa ndo sielewi kitu hata ukiniambia niwataje watano tu nitachemka.......nimeskia kwa bahati mbaya eti hadi Uganda leo wametupiga 3 hii too much sasa......
 
Nimeuona uzi humu few minutes ago ukidai baada ya matokeo haya kocha wa Taifa Stars katimuliwa, sasa Waziri wa michezo naye atimue timu yote ya uongozi wa TFF na kuitisha uchaguzi mwingine in 45 days.

Na hilo ndo linatakiwa lifanyike sasa sisi tunaweza nin jamani? Hivi hakuna mashindano ya ufisadi labda? .......Juzi nimecheka nilikuwa naskiliza redio moja hapa bongo mmoja wa wasikilizaji akapiga simu akasema anashangaa hao wanaoitwa watanzania walioshinda mbio za magari maana last Sunday kulikuwa na ushindani wa mbio za magari sasa wote walikuwa ngozi nyeupe asili ya Hindi... Akasema itabidi na kwenye michezo mingine hasa mpira tutafute watanzania wa dizaini hiyo maana ndo inaonekana wanaiweza kazi.
 
Reactions: BAK
Hapo tunaweza kuchukua kabisa namba maana wacheza wazuri wa kutosha wapo kwenye hii fani kuanzia wale walionunua Urais 2005 kwa mapesa ya kiufisadi, hawa wanaotaka kununua mwama huu, tutaweka na akina joka lenye makengeza, pesa ya mboga, mifuko yangu yoye imejaa pesa, hata majanu tutakula lakini rada lazima inunuliwe hao ni wacheza wachache wazuri sana katika fani hii sijawaweka wa wa EPA, Richmond, Meremereta, na wengine chungu nzima. Kombe lazima liguse ardhi ya Bongo.

 
30 minutes za kuwasubiri El Fideo, Banega na Pastore. Hope wata-deliver kuepusha Superclásico de las Américas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…