Kufungwa wamechoka sasa wanajifunga wenyewe...
90' Chile 5 - 0 Bolivia
Ni utoto tu akikua ataacha ila alivyoongea na media kuhusu ile red yake mhh!! Kampondea refa .....
Wacheza wengi wenye umri kama wake au hata wa chini yake wanapokuwa uwanjani hawafanyi huo utoto aufanyao yeye. Refa kweli hakumudu mchezo lakini asingefanya uhuni na fujo zake Jumamosi aingeisaidia timu yake katika kuendelea kwenye ngwe inayofuata ya COPA America.
Neymar yuko immature sana.
Sijui huwa anajiona yeye ni wa maana sana au vipi....
Hapa nilipo sidhani kama Brasil wataweza kufika mbali.
Mlimbwende anahamasisha kumtaza unaweza hata ukasahau kama kibendera kimeanguka...
Naona na leo katabiri Chile anashinda...