Special thread clinical officer 2018/2019

Special thread clinical officer 2018/2019

dutouh

Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
28
Reaction score
8
Habari zenu wana jf kwa wale wote wanaotarajia kujiunga na vyuo mbalimbali vya kozi za afya kwa mwaka 2018/2019 tukutane hapa kupeana ushauri kidogo.
 
Mimi Nina mipango ya kujiunga na kozi hiyo ya clinical officer ningependa piah kwa wenzang walio na mpango huo tupeane ushauri, kuhusu kozi yenyewe.
 
Dah, mimi sitaki shortcut mkuu ngja tu niende Advance kwanza.
 
Mimi Nina mipango ya kujiunga na kozi hiyo ya clinical officer ningependa piah kwa wenzang walio na mpango huo tupeane ushauri, kuhusu kozi yenyewe.
Mdau hata mm nina mpango nipe habar je umefikia wap kaka?
 
Dah, mimi sitaki shortcut mkuu ngja tu niende Advance kwanza.
Kila la heri ila ukumbuke kiwango cha chini cha ufaulu wa kusomea digrii ya udaktari ni Physics D, Chemistry C na Biology C!! Kwa A level C inaanzia marks 60 hadi 69 na D inaanzia marks 50 hadi 59! Mwulize mwanafunzi aliyeko A level akueleze wepesi au ugumu wa kufikisha marks hizo!! Wengi waliokuwa na one au two zao za O level huishia D mbili na S moja kisha hurudi kugombania u CO baada ya kupoteza miaka 2 ya A level!
Sikutishi ila nakupa hali halisi ili ujipange vizuri na uamue kusuka au kunyoa!!
 
Kila la heri ila ukumbuke kiwango cha chini cha ufaulu wa kusomea digrii ya udaktari ni Physics D, Chemistry C na Biology C!! Kwa A level C inaanzia marks 60 hadi 69 na D inaanzia marks 50 hadi 59! Mwulize mwanafunzi aliyeko A level akueleze wepesi au ugumu wa kufikisha marks hizo!! Wengi waliokuwa na one au two zao za O level huishia D mbili na S moja kisha hurudi kugombania u CO baada ya kupoteza miaka 2 ya A level!
Sikutishi ila nakupa hali halisi ili ujipange vizuri na uamue kusuka au kunyoa!!
Duh, sawa Asante nimekusoma but tutapambana hivyohivyo.
 
Nashauri mkasome diploma za mionzi (diagnostic) na maabara

Hizi ni rahisi kupata michongo mjini hapa kuliko maCO ambao kwanza wapo wengi na kaka zao MD wapo wengi pia na wanafanya kasi hadi kwa laki sita saba

Ukiwa radiographer unaweza kuwa na vijiwe hata vitatu kote unakula pesa

Tusifuate mkumbo tu was kuitwa daktari,tuangalie wapi soko linatupeleka
 
Kila la heri ila ukumbuke kiwango cha chini cha ufaulu wa kusomea digrii ya udaktari ni Physics D, Chemistry C na Biology C!! Kwa A level C inaanzia marks 60 hadi 69 na D inaanzia marks 50 hadi 59! Mwulize mwanafunzi aliyeko A level akueleze wepesi au ugumu wa kufikisha marks hizo!! Wengi waliokuwa na one au two zao za O level huishia D mbili na S moja kisha hurudi kugombania u CO baada ya kupoteza miaka 2 ya A level!
Sikutishi ila nakupa hali halisi ili ujipange vizuri na uamue kusuka au kunyoa!!
Alafu chuo wanaruhusu wenye chini ya 18age maana bado sijafika huko?? Nataka nikakue kwanzaa
 
Duh, sawa Asante nimekusoma but tutapambana hivyohivyo.
Ukiamua kupambana inawezekana! Sahau ufaulu wa O-level! Kuna wenye three za O-level huibuka na one za A-level na wenye one za O-level huambulia three na wengine four za A-level! Kupambana ndo mpango mzima na usikivu na nidhamu na heshima kwa waalimu wako!
 
Alafu chuo wanaruhusu wenye chini ya 18age maana bado sijafika huko?? Nataka nikakue kwanzaa
Hakuna limit ya umri chuo! Ukiwa mdogo ndio vizuri zaidi. Ila endelea kujiona kuwa ni mdogo hata ukiingia chuo!!! Usije ukajiona mkubwa baada ya kuingia chuo halafu ukaanza kujifunza mambo hudaiwa kuwa ni ya wakubwa lakini ukweli ni kuwa ni ya kishetani!!!!
 
Alafu chuo wanaruhusu wenye chini ya 18age maana bado sijafika huko?? Nataka nikakue kwanzaa
Hakuna limit ya umri chuo! Ukiwa mdogo ndio vizuri zaidi. Ila endelea kujiona kuwa ni mdogo hata ukiingia chuo!!! Usije ukajiona mkubwa baada ya kuingia chuo halafu ukaanza kujifunza mambo ambayo hudaiwa kuwa ni ya wakubwa lakini ukweli ni kuwa ni ya kishetani!!!!
 
Back
Top Bottom