Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Kama ningekua Polsen ningemtoa Amri Kiemba faster na kumuingiza Chanongo ili tukimbize.Kisha kipindi cha pili ningemtoa H.Dilunga na kumuingiza Chuji.
Mkuu uwanja ni mbovu hakuna cha kukimbiza, tazama Ngasa na Samatta ni wakimbizaji wazuri lakini leo sijaona chochote, uwanja unateleza sana walitakiwa kuwa na viatu ambavyo all weather.
 
Tatizo la timu yetu majikupwa maji kujaa,haitabiliki
 
Dk 46

Kili 0 - 1 Kenya
 
Tanesco wamechukua umeme wao hapa aagh
 
ulimwengu kagongesha mwamba! kama lingekuwa goli lile, lingekuwa miongoni mwa magoli bora ya michuano hii...
 
Dk 50

Kili 0 - 1 Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…