Mkuu hii mechi hata haieleweki, kuna vyanzo vingine vinasema saa 12, vingine saa 12:30 na vingine saa moja, ila huenda kile cha saa moja kiko sahihi maana ni supersport, na hivyo vingine ni blog za michezo za hapa hapa nchini.
mkuu hii mechi hata haieleweki, kuna vyanzo vingine vinasema saa 12, vingine saa 12:30 na vingine saa moja, ila huenda kile cha saa moja kiko sahihi maana ni supersport, na hivyo vingine ni blog za michezo za hapa hapa nchini.
Pongezi nyingi sana kwa Sudan,kwa mara ya kwanza wameonyesha ushindani wa hali ya juu! Big up Sudan,keep up for final,but remember Kili stars is coming!
Mkuu hii mechi hata haieleweki, kuna vyanzo vingine vinasema saa 12, vingine saa 12:30 na vingine saa moja, ila huenda kile cha saa moja kiko sahihi maana ni supersport, na hivyo vingine ni blog za michezo za hapa hapa nchini.
Kikosi cha Kili Stars kinatarajiwa kuwa kama ifuatavyo...
Ivo Mapunda
Kevin Yondani
Erasto Nyoni
Pius Aidan
Said Morad
Frank Domayo
Dilunga Hassan
Amri Kiemba
Mbwana Samata
Thomas Ulimwengu
Mrisho Ngasa