Inabidi kocha aimarishe safu yake ya ushambuliaji, sina hakika na washambuliaji wa timu zingine lakini kwa kuruhusu goli moja hadi sasa inaonekana safu yetu ya ulinzi iko imara chini ya captain Dunga aaha no chini ya nahodha Yondani.
Inabidi kocha aimarishe safu yake ya ushambuliaji, sina hakika na washambuliaji wa timu zingine lakini kwa kuruhusu goli moja hadi sasa inaonekana safu yetu ya ulinzi iko imara chini ya captain Dunga aaha no chini ya nahodha Yondani.