Kuhusu Ngongoti nadhani atakuwa ameachwa ila kuhusu Amisi Tambwe Mapenati hajaitwa kwa sababu Burundi wanataka watumie wachezaji wao wa ndani ili kujiandaa na mashindano ya CHAN ndo maana hata mshambuliaji wenu hajaitwa.
Kuhusu Ngongoti nadhani atakuwa ameachwa ila kuhusu Amisi Tambwe Mapenati hajaitwa kwa sababu Burundi wanataka watumie wachezaji wao wa ndani ili kujiandaa na mashindano ya CHAN ndo maana hata mshambuliaji wenu hajaitwa.
TBC 1 wanaanza kuonyesha but km kuna bunge tunaweza kupotezana half time! Tbc hawaamini hata kidogo. Leo watakutangazia game zote live kesho bila hata samahani watakata matangazo
TBC 1 wanaanza kuonyesha but km kuna bunge tunaweza kupotezana half time! Tbc hawaamini hata kidogo. Leo watakutangazia game zote live kesho bila hata samahani watakata matangazo
Jaribu mkuu UBC au KBC...mimi sijawahi kutumia kisimbusi cha Startimes wala sijui packages zake, huenda hizo channels mbili zipo maana nina uhakika zinaonesha hizo.