pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,681
- 6,382
Hajautaka yeye alikuwa makamu tuUm
Tumsaidie nini? Yeye apambane kivyake si aliutaka urais
Urais ameupata kikatiba hajagombea
Hajautaka yeye alikuwa makamu tuUm
Tumsaidie nini? Yeye apambane kivyake si aliutaka urais
Akagombee hebu mpitisheni 🤣🤣Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Na wale waliokua wanasema atagombea upinzani je?Akagombee hebu mpitisheni 🤣🤣
Hii takataka ilikuwa ma magonjwa mtambuka tangu 2014 huko. Halafu ndiyo na wewe mto mada ulitaka awe Rais. Ngugai was Psychiatric, labda mlichelewa kumjuaHapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?