MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,131
- 22,045
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kufuatia spika mstaafu Job Ndugai kutangaza kutoendelea na siasa mwaka 2025. Sisi kama CCM tutaendelea kumheshimu mzee wetu kama ilivyo desturi ya chama chetu.
Lakini nimefikiria kwa makini na kuwasikitikia mno chama cha Mbowe. Kwa vyovyote vile lazima CHADEMA ilishampigia mahesabu Ndugai kujiunga nao ili awe mgombea urais wao lakini kwa bahati mbaya tayari mhusika kaonyesha nia ya kutoendelea na siasa.
Wapinzani wasikate tamaa wasubiri 2025 huenda wakapata mgombea urais wao kutoka CCM kama walivyompata Lowasa. CCM ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo CHADEMA hasa zile nyakati ngumu za kumpata mgombea urais.
Ninaandika kwa masikitiko makubwa kufuatia spika mstaafu Job Ndugai kutangaza kutoendelea na siasa mwaka 2025. Sisi kama CCM tutaendelea kumheshimu mzee wetu kama ilivyo desturi ya chama chetu.
Lakini nimefikiria kwa makini na kuwasikitikia mno chama cha Mbowe. Kwa vyovyote vile lazima CHADEMA ilishampigia mahesabu Ndugai kujiunga nao ili awe mgombea urais wao lakini kwa bahati mbaya tayari mhusika kaonyesha nia ya kutoendelea na siasa.
Wapinzani wasikate tamaa wasubiri 2025 huenda wakapata mgombea urais wao kutoka CCM kama walivyompata Lowasa. CCM ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo CHADEMA hasa zile nyakati ngumu za kumpata mgombea urais.