Spea ya gari ya Ford explorer

Spea ya gari ya Ford explorer

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,108
Reaction score
55,524
Wakuu, habari.

Natafuta hichi kifaa, wanakiita 'transceiver' kipo karibu na sehemu ya ufunguo.
Mwenye nacho tuwasiliane pm

Transponder.jpg
 
Nairobi vipo tele
Naweza kupata koneksheni?, kuna mzabuni mmoja amesema atajaribu Dubai lakini inaweza kuchukua siku 18-20; nimecheki ebay nimeviona ila vinapatikana US na Mexico, changamoto ni muda kukipata, pia natakiwa kutanguliza hela kwanza kabla ya kukipokea.​
 
Back
Top Bottom