“spana” muhimu katika uhandisi tovuti

“spana” muhimu katika uhandisi tovuti

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,444
Fani yeyeote ya uhandisi inahitaji matumizi ya nyenzo. Tunaweza kuzua mjadala kama je kutengeza tovuti nayo ni taaluma ya kihandisi.????? I think so sijui wewe…. Tuache huo mjadala lengo hapa Ni tujadiliane "spana" nyenz na vitendea azi mbali mbali vya kuhandisi au kutengeza tovuti au mtengenza tovuti anatakiwa kuvijua.
Web developer

Ni moja ya "mkoba" wenye nyenzo mbali mbali nani yake zinazowezesha
mtu kutengeneza au kurekebisha vitu kadhaa kwenye tovuti. Iwe unataka kujua taarifa za tags zinazotumika kwenye tovuti au wapi picha zinazoonekana kwenye tovutii zimehifadhiwa.Vile vile kwa kutumia wedeveloper adon unawezaa kuelewa mambo ya CCS, kujua jinsi taarifa za font , backgrun na element mmbali mbali zilivyokuwa kuwa styled katika ukurasa kuufanya uonekane ulivyo . Rrowser za chrome na firefox ndio zina addon ya Kuruhusu kusimika nyenzo hii


Fire bug


Binafsi sijautumia sana hii spana lakini review za wataalm mbali mbali mtanadaoni zinaonyesha"spana" hii ni inauwezo mkubwa na muhimu zaidi kuliko hata webeveloper. Zaidi ya kufanya yote yanafanywa na nyenzo ya web developer, firebug inawezesha designer/developer/ Engineer wa web kudebug matatizo kama ya CSS na XHTML. Hii ni nyenzo nzuri zadii ya webeveloper lakini inahitaji muda mkubwa kuimudu na kuielewa vizuri.


ColorZilla



Mvuto wa tovuti moja ya lengo la dsinger yeyote. Na uchaguzi wa rangi za web si rahisi i kwa mtu kukariri sababu code za rangi zina mchanganyio wa herufi na number. Spana hii ya colour inamrahisihia mtu kuchagua rangi na yenyenye inaleta code ambazo ndio mhadisi tovuti atatumi katika kujenga tovuti



Nimetaja "spana" chache lakini naamini kuna spana nyingine nyingi . Kitu kimoja kinachoipa sifa Mozilla tofauti na browser nyingine ni sababu ya kuwepo na "spana" au nyenzo kama hizo kuwasaidia na kurahissiha kazi ya developer na wahandisi wa kujenga tovuti. Baadhi ya nyenzo nyingine muhimu kwa wahandisi tovuti ni HTML validator, SEO doctor.



Karibu tuhabarishane, tuelimishane na tujuzane spana na nyenzo mbali mbali katika mambo ya uhandisi tovuti.

Makala hii inapatika pia kwenye gym ya mtazamaji
 
gEdit+plugins=power to developer. Kama una MacOSX then TextMate plus bundles. Windows Notepad++ and plugins. DB design MySQL workbench kwa MySQL. Kama unataka kwenda heavy, Netbeans, Eclipse PDT, Aptana studio for free na PHPEdit, Zend Studio, PHPDesign (No DW hahahaaa!)
kwa web design, firebug ni must kama ilivyo xdebug kwa development. Kama unapenda UKNUK tafuta Kompozer/NVU au kama mlevi wa Adobe DW. Netbeans ina limited capability.
<kelele>
sijaelewa kama uhandisi tovuti unamaanisha ni web design au development. Kiswahili ni lugha ambayo bado mwanafunzi wa primary. Btw, software engineering (nisaidie kiswahili chake) ndio field inayokwalify ktk engineering lakini web dev/design deektop dev/design et al ni part za SE.
</kelele>
my 0000 0000 0000 0010 Cents
 
gEdit+plugins=power to developer. Kama una MacOSX then TextMate plus bundles. Windows Notepad++ and plugins. DB design MySQL workbench kwa MySQL. Kama unataka kwenda heavy, Netbeans, Eclipse PDT, Aptana studio for free na PHPEdit, Zend Studio, PHPDesign (No DW hahahaaa!)
kwa web design, firebug ni must kama ilivyo xdebug kwa development. Kama unapenda UKNUK tafuta Kompozer/NVU au kama mlevi wa Adobe DW. Netbeans ina limited capability.
<kelele>
sijaelewa kama uhandisi tovuti unamaanisha ni web design au development. Kiswahili ni lugha ambayo bado mwanafunzi wa primary. Btw, software engineering (nisaidie kiswahili chake) ndio field inayokwalify ktk engineering lakini web dev/design deektop dev/design et al ni part za SE.
</kelele>
my 0000 0000 0000 0010 Cents

Hossana nadhani huku Tanznaia mmajukumu yetu hayatofautini au hayatenganishwi sana kama nchi zilizoendelea. mtu anaweza kujiita web desiner lakini 80% ya kazi zake ni za web development. Yaani sisi huku tunachanganya tu designing na development kama field moja. ila Kwenye process ndio utajikuta inabidi ufanye maamuzi ya designing baadae uje kwenye development. Sijui kama niko sahihi

Kuhuus engineering namaanisha
Requrement analysis, requirement specifation, desgn and development(Impliment). To me ukitumia methodology yeyote katika system development basi itakuwa ni engineering. Am I wrong.?


BTN
hivi ni editor gani nzuri ya PHP kwa mtu amabye ni intermediate au ana avarge competency.
 
As kwa software engineering, unahitaji qualification gani kuapply? (from beggining eg o level requirements, a level, etc)
 
I think web development using "LAMP" - Linux operating system, Apache HTTP server, MYSQL database and Perl/PHP/Python is the most appealing platform nowadays.



 
gEdit+plugins=power to developer. Kama una MacOSX then TextMate plus bundles. Windows Notepad++ and plugins. DB design MySQL workbench kwa MySQL. Kama unataka kwenda heavy, Netbeans, Eclipse PDT, Aptana studio for free na PHPEdit, Zend Studio, PHPDesign (No DW hahahaaa!)
kwa web design, firebug ni must kama ilivyo xdebug kwa development. Kama unapenda UKNUK tafuta Kompozer/NVU au kama mlevi wa Adobe DW. Netbeans ina limited capability.
<kelele>
sijaelewa kama uhandisi tovuti unamaanisha ni web design au development. Kiswahili ni lugha ambayo bado mwanafunzi wa primary. Btw, software engineering (nisaidie kiswahili chake) ndio field inayokwalify ktk engineering lakini web dev/design deektop dev/design et al ni part za SE.
</kelele>
my 0000 0000 0000 0010 Cents

Netbeans ina limited capability zipi hizo?,au unatumia versions za zamani?,sasa hivi wameadvance toka version 6.9.1 to 7.0 ?.To me ndo the best editor naitumia na kubuntu
 
Nataka kuwa Computer Programmer what can i do?....

Programming huanza na problem,mfano unataka kujumlisha namba mbili,au unataka kutengeza program inayoweza kucontrol traffic lights kwenye njia panda,au unataka kutengeza program ya kusolve quadratic equation, lazima ujue solution path(njia),kitaalamu inaitwa algorithim,from there

Rule no.1..You need to know programming languages(JAVA,C,C++,VB,PERL,PYTHON,...) na application zake,kwenye programming languages flow of logic huwa ni moja kinachobadilika ni syntax tu.So make sure unakuwa competent kwa walau language 2 au 3.

Rule no.2..Jifunze Operating systems za aina tofauti-tofauti hasa linux,kwa sababu code zake ni open source.

Rule no.3..DONT FORGET RULE NO.1
 
Hossana nadhani huku Tanznaia mmajukumu yetu hayatofautini au hayatenganishwi sana kama nchi zilizoendelea. mtu anaweza kujiita web desiner lakini 80% ya kazi zake ni za web development. Yaani sisi huku tunachanganya tu designing na development kama field moja. ila Kwenye process ndio utajikuta inabidi ufanye maamuzi ya designing baadae uje kwenye development. Sijui kama niko sahihi

Kuhuus engineering namaanisha
Requrement analysis, requirement specifation, desgn and development(Impliment). To me ukitumia methodology yeyote katika system development basi itakuwa ni engineering. Am I wrong.?


BTN
hivi ni editor gani nzuri ya PHP kwa mtu amabye ni intermediate au ana avarge competency.
Mtazamaji,
unaweza kuwa web dev usiwe designer au vice versa au vyote. Kuwa software engineer ni kitu kingine. Ni zaidi ya design au dev pekee. SE inajumlisha design, implementation na maintance ya software whether ni web au desktop. Hapo ndipo issue za design patterns, implementation methodology, security concerns et al zinapoingia. So you are right somehow.

Editor nzuri kwa ajili ya programming, PHP included, depends on OS. In Linux you can use either Geany or gEdit for gnome or kate for KDE. I prefer gEdit plus few plugins. In Mac you have TextMate and in windows you can choose between Notepad++ or Geany. Not sure if Geany is available for Mac but there is coda as alternative.
If you want heavy stuffs, you can use Eclipse with either PDT or Aptana studio. I prefer the later. Netbeans is another very good option. Both runs on Java so can be installed in windows, Mac and Linux
 
Netbeans ina limited capability zipi hizo?,au unatumia versions za zamani?,sasa hivi wameadvance toka version 6.9.1 to 7.0 ?.To me ndo the best editor naitumia na kubuntu
HTML UKNUK (WYSIWYG). Btw NB ni IDE sio editor!
 
As kwa software engineering, unahitaji qualification gani kuapply? (from beggining eg o level requirements, a level, etc)
mh, sidhani kama hapa kwetu hii kitu tunayo. Naona vyuo vingi vinafundisha general ICT
 
tunapoongelea sofware engiinering tunamaanisha nini na tofauti yake tofauti yake na field nyingine za engineering ni nini
Software engineering By Ian Sormoville said:
...........
Software engineering is an engineering discipline whose focus is the cost effective development of high-quality software systems. Software is abstract and intangible. It is not constrained by materials, or governed by physical laws or by manufacturing processes. In some ways, this simplifies software engineering as there are no physical limitations on the potential of software. However, this lack of natural constraints means that software can easily become extremely complex and hence very difficult to understand...........................................................

New techniques and methods were needed to control the complexity inherent in large software systems.These techniques have become part of software engineering and are now widely used. However, as our ability to produce software has increased, so too has the complexity of the software systems that we need. New technologies resulting from the convergence of computers and communication systems and complex graphical user interfaces place new demands on software engineers. As many companies still do not apply software engineering techniques effectively, too many projects still produce software that is unreliable, delivered late and over budget.

We know now that there is no single 'ideal' approach to software engineering. The wide diversity of different types of systems and organisations that use these systems means that we need a diversity of approaches to software development

Sasa Ian Somrovile Akasemaje what is actually sofware engineering
What is software engineering?
Software engineering is an engineering discipline that is concerned with all aspects of software production from the early stages of system specification to maintaining the system after it has gone into use. In this definition, there are two key phrases:
1. Engineering discipline
Engineers make things work. They apply theories, methods and tools where these are appropriate, but they use them selectively and always try to discover solutions to problems even when there are no applicable theories and methods. Engineers also recognise that they must work to organisational and financial constraints, so they look for solutions within these constraints.

2. All aspects of software production
:
Software engineering is not just concerned with the technical processes of software development but also with activities such as software project management and with the development of tools, methods and theories to support software production.................

Ndiyo maana mimi nadhani engineering wneye IT sio lazima iwe ya sofware inaweza kuwa Ya Web engeering, network engiinering


HosannaTech said:
mh, sidhani kama hapa kwetu hii kitu tunayo. Naona vyuo vingi vinafundisha general ICT
Keli Inawezekana wnafundisha Information system Engineering . na sio Softtware engineering teh teh teh. Neno engineering linavutia lol
 
Mtazamaji,
there is ni web engineering nor network engineering! Web involve software and network communication involve software. So software engineering is all about software like chemical engineering is all about chemicals!
Network on hardware/pseudo software is part of Telecommunication engineering!
 
Mtazamaji,
there is ni web engineering nor network engineering! Web involve software and network communication involve software. So software engineering is all about software like chemical engineering is all about chemicals!
Network on hardware/pseudo software is part of Telecommunication engineering!

Hossana
Web and Network can be viewed as enginrerring .Kwani ukisema Sofware engiineeri ering wht specifiicaally does it mean ?

Waht I know na kwa definition ion ya hapo juu Engieering Kifupi ni set of rules methodologies, techniques, standards and approach zinazotumika kutatua tatizo. na kupata quality product within some constraints ( Time, Money)

Sasa ukisema mambo ya Networking au Web hayawezi kuwa enginering nakuwa sijakkupata. Laini inawezeana sababu watanzania wengi hatufuati na hatupendi mambo ya docuentation na kufuta process . lakini wa mtu anyefuata formalities na principle basi hata project ya web na Network ni engineering
 
Wote bado hamjanijibu. HOW DO I START ON MY WAY TO S.E?
1.
  • u need to Know Information system devepolpemt procees , tools used , methodologies, ther differences advantages and disavavantage
  • U need to know standards used and tools used at each stage from Analysis to problem specification or requirement specification to Testing,and verification to Implementation at winch wich is u must know at least one language for implementing solution . things like DFD, Use case diagram, ERD etc should be bread and butter to you
  • U need to know Software project management, time management. How productivity of team can be measured in software project
  • etc etc
In short ingawa hii kitabu ni cha zamani kiogo kinaweza kukupa mwanga kutokana contents zake nini unatkiwa kugusia au kutafuta. Kitabu kinaitwa Software Engineering A uthor wake ni Ian Sormoville. May be wataalam watakupa vitabu latest

Part 1 Overview
Chapter 1 Introduction
Chapter 2 Socio-technical systems
Chapter 3 Critical systems
Chapter 4 Software processes
Chapter 5 Project management
Part 2 Requirements
Chapter 6 Software requirements
Chapter 7 Requirements engineering processes
Chapter 8 System models
Chapter 9 Critical systems specification
Chapter 10 Formal specification
Part 3 Design
Chapter 11 Architectural design
Chapter 12 Distributed systems architectures
Chapter 13 Application architectures
Chapter 14 Object-oriented design
Chapter 15 Real-time software design
Chapter 16 User interface design
Part 4 Development
Chapter 17 Rapid software development
Chapter 18 Software reuse
Chapter 19 Component-based software engineering
Chapter 20 Critical systems development
Chapter 21 Software evolution
Part 5 Verification and validation
Chapter 22 Verification and validation
Chapter 23 Software testing
Chapter 24 Critical systems validation
Part 6 Managing people
Chapter 25 Managing people
Chapter 26 Software cost estimation
Chapter 27 Quality management
Chapter 28 Process improvement
Chapter 29 Configuration management
Part 7 Emerging technologies
Chapter 30 Security engineering
Chapter 31 Service-oriented software engineering
Chapter 32 Aspect-oriented software development

Ukisha jua general knowldege then unaweza kuspecialize kwenye eneo moja la sofware engiinering either kweye Testing, au kwenye designing au kwenye developing(coding) au kwenye UI na quality. lakini kibongo bongo ndio unacheza kote kote yaani unagusa pote pote bila kuwa deep. popote teh teh teh
 
Back
Top Bottom