jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Toka lini umeanza kutetea hao majamaa?Hii habari mpaka tupate uthibitsho kutoka credible sources kwani kwa sasa habari zinazotoka upande ule zimekuwa sio za kuamini sana!! Unaweza ambiwa ni mashoga kumbe ni wanaharakati!! Kwa kuwa hii dola yetu inaogopa wanaharakati kama binadamu kaona nyoka siwezi shangaa kabisa.