peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Ni kweli hatuna uhusiano wa kibalozi na Israel. na nchi zote zisizo na uhusiano na Israel, zina laana. Hii ndiyo maana pamoja na kuwa na rasilimali nyingi, bado laana ile ile inatung'ang'ania. Hatutaepuka laana hii mpaka tuwe na uhusiano na taifa teule la Mungu.
mbona iran haina ubalozi na israel lkn ina maendeleo makubwa mpk ya nyuklia?
Nyerere si ndie aliezuia huo ubalozi, au alikosea kwenye hili?