ELFU-ONEIR
Senior Member
- Jun 27, 2012
- 181
- 64
ni kweli hakuna ubalozi wa israel tz?safi sana!israel na usa wauaji wakubwa!hata tanzania tumekataa ubalozi wao.
Sauzi wana mapepo si laana yakujitakia hiyo Mungu ibariki israel. AMINA
Africa Kusini inaanzisha mgogoro na taifa teule la Mungu? Ona sasa wameanza kuuwana, huu ni mwanzo wa laana kwao. Mfano halisi ni tanzania, taifa lenye rasilimali nyingi zisizowanufaisha wananchi wake, hii ilitokana na laana kama hiyo.
Ni kweli hatuna uhusiano wa kibalozi na Israel. na nchi zote zisizo na uhusiano na Israel, zina laana. Hii ndiyo maana pamoja na kuwa na rasilimali nyingi, bado laana ile ile inatung'ang'ania. Hatutaepuka laana hii mpaka tuwe na uhusiano na taifa teule la Mungu.ni kweli hakuna ubalozi wa israel tz?
Hivi haya mataifa mengine kama Tanzania baada kususwa na Mungu, tunamtegemea nani ? halafu taifa teule mbona Mungu amelipa kashamba kadoogo ka kugomeana na wenziwe ? huyu Mungu yuko rational kweli ?Ni kweli hatuna uhusianio wa kibalozi na Israel. na nchi zote zisizo na uhusiano na Israel, zina laana. Hii ndiyo maana pamoja na kuwa na rasilimali nyingi, bado laana ile ile inatung'ang'ania. Hatutaepuka laana hii mpaka tuwe na uhusiano na taifa teule la Mungu.
Hawa wamepewa eneo dogo, na takatifu. Hawa hawako milioni 45 kama watanganyika, bali ni nchi ndogo yenye akili. sio kubwa jinga.Hivi haya mataifa mengine kama Tanzania baada kususwa na Mungu, tunamtegemea nani ? halafu taifa teule mbona Mungu amelipa kashamba kadoogo ka kugomeana na wenziwe ? huyu Mungu yuko rational kweli ?
Hawa wamepewa eneo dogo, na takatifu. Hawa hawako milioni 45 kama watanganyika, bali ni nchi ndogo yenye akili. sio kubwa jinga.
Naomba ufafanuzi zaidi kuhusiana na kuteuliwa kwa hilo Taifa takatifu na utakatifu upi hasa unafanywa na Taifa hilo.Naomba sana nauhakika wengi watapenda kujua huu utakatifu kwa melezo itakayo toa mifano ambayo itakayokubalika duniani.
safi sana!israel na usa wauaji wakubwa!hata tanzania tumekataa ubalozi wao.