South africa military strength

Pezzonovante

JF-Expert Member
May 1, 2008
638
41
PERSONNEL
Total Population: 48,782,756 [2008]
Population Available: 23,124,044 [2008]
Fit for Military Service: 11,513,601 [2008]
Reaching Military Age Annually: 1,051,879 [2008]
Active Military Personnel: 60,000 [2008]

ARMY

NAVY
Total Navy Ships: 22
Merchant Marine Strength: 3 [2008]
Major Ports and Harbors: 5
Aircraft Carriers: 0 [2008]
Destroyers: 0 [2008]
Submarines: 3 [2008]
Frigates: 0 [2008]
Patrol & Coastal Craft: 6 [2008]
Mine Warfare Craft: 8 [2008]
Amphibious Craft: 0 [2008]

AIR FORCE
Total Aircraft: 425 [2003]
Helicopters: 132 [2003]
Serviceable Airports: 728 [2007]

FINANCES (USD)
Defense Budget: $3,700,000,000 [2007]
Foreign Exch. & Gold: $32,940,000,000 [2007]
Purchasing Power: $467,800,000,000 [2007]

OIL
Oil Production: 200,000 bbl/day [2006]
Oil Consumption: 519,000 bbl/day [2006]
Proven Oil Reserves: 15,000,000 bbl [2007]

LOGISTICAL
Labor Force: 20,490,000 [2007]
Roadways: 362,099 km
Railways: 20,872 km

GEOGRAPHIC
Waterways: 0 km
Coastline: 2,798 km
Square Land Area: 1,219,912 km

Sources: Central Intelligence Agency
 
Msibabaike sana na fifaa. Waarabu wanavifaa vya bei sana lakini hawajui kupigana. Wamerekani wanaogopeka kwasababu wanapigana kirtahisi ukiwaingilia hawaogopi kupeleka wanajeshi na kufa vitani. China ni waoga wa kupigana. Tanzania hatuna vifaa vingi lakini tukikasirika hakuna anayetuweza East Africa kwasababu hatuogopi kupigana pamoja na upole wetu.
 
Msibabaike sana na fifaa. Waarabu wanavifaa vya bei sana lakini hawajui kupigana. Wamerekani wanaogopeka kwasababu wanapigana kirtahisi ukiwaingilia hawaogopi kupeleka wanajeshi na kufa vitani. China ni waoga wa kupigana. Tanzania hatuna vifaa vingi lakini tukikasirika hakuna anayetuweza East Africa kwasababu hatuogopi kupigana pamoja na upole wetu.

Endelea kujipa moyo, mtu anakurushia rocket kutoka umbali wa Km 1,000 tena inaingia chumbani kwako kisha ndo inalipuka, hasira sijui utamtolea nani.
 
Endelea kujipa moyo, mtu anakurushia rocket kutoka umbali wa Km 1,000 tena inaingia chumbani kwako kisha ndo inalipuka, hasira sijui utamtolea nani.
kama huo mzinga una anwani ya mtumaji atajua cha mtemakuni na silaha zetu duni tutaenda kukomba mizinga yake
 
Msibabaike sana na fifaa. Waarabu wanavifaa vya bei sana lakini hawajui kupigana. Wamerekani wanaogopeka kwasababu wanapigana kirtahisi ukiwaingilia hawaogopi kupeleka wanajeshi na kufa vitani. China ni waoga wa kupigana. Tanzania hatuna vifaa vingi lakini tukikasirika hakuna anayetuweza East Africa kwasababu hatuogopi kupigana pamoja na upole wetu.

Hahahaha.. wabongo wanapenda kusema hivi bana daah! vifaa ndo kila kitu aise.. naona unakosea sana kusema eti nyie kivita ndio wababe East africa, yani ile vita ya kumngoa nduli Amin ndio inakua kigezo.. hahahaha, walahi Recce Unit ya GSU wanaweza tawanya jeshi lenyu mbaya.. dont mess with Kenya bruh.
Peace
 
Msibabaike sana na fifaa. Waarabu wanavifaa vya bei sana lakini hawajui kupigana. Wamerekani wanaogopeka kwasababu wanapigana kirtahisi ukiwaingilia hawaogopi kupeleka wanajeshi na kufa vitani. China ni waoga wa kupigana. Tanzania hatuna vifaa vingi lakini tukikasirika hakuna anayetuweza East Africa kwasababu hatuogopi kupigana pamoja na upole wetu.

What is Fifaa? ila pia hasira kwenye mapigano ni moja ya udhaifu ujue
 
Hahahaha.. wabongo wanapenda kusema hivi bana daah! vifaa ndo kila kitu aise.. naona unakosea sana kusema eti nyie kivita ndio wababe East africa, yani ile vita ya kumngoa nduli Amin ndio inakua kigezo.. hahahaha, walahi Recce Unit ya GSU wanaweza tawanya jeshi lenyu mbaya.. dont mess with Kenya bruh.
Peace
Nani kakwambia vita ya kumng'oa Amin ndo kigezo?! TPDF imepigana vita nyingi mno, rudi tu ukajifunze upya. Halafu kwa taarifa yako kuwa na vifaa ni muhimu lakini vifaa siyo kila kitu kama unavyosema... Jifunze kuhusu vita mbalimbali duniani utajua hilo.
 
Nani kakwambia vita ya kumng'oa Amin ndo kigezo?! TPDF imepigana vita nyingi mno, rudi tu ukajifunze upya. Halafu kwa taarifa yako kuwa na vifaa ni muhimu lakini vifaa siyo kila kitu kama unavyosema... Jifunze kuhusu vita mbalimbali duniani utajua hilo.

sawa mkuu, lakini nikisema vita ya kumngoa Amin na maanisha vita za kitambo, zile za ku liberate southern african countries.. sina ubaya lakini, just voicing my opinions
 
sawa mkuu, lakini nikisema vita ya kumngoa Amin na maanisha vita za kitambo, zile za ku liberate southern african countries.. sina ubaya lakini, just voicing my opinions

Kuna vita moja ya juzi juzi tu i think ilikuwa 2008 ya kumng'oa Alshaabab Bacar kule visiwani Comoro. Hatukupoteza askari yeyote vitani, ila kwa bahati mbaya kuna kijana wetu mmoja alizama baharini na kufariki (RIP) wakati wanarudi....

_44442548_bacar_203afp.jpg

Mbishi Col. Mohamed Bacar.
10_10_c9wspb.jpg

news-graphics-2008-_660193a.jpg

Vijana wakiingia kwa style ya amphibious assault.
tumblr_lsgdirveXM1qjm9z7o1_500.jpg

1083054-3x2-340x227.jpg

Vijana wa Kazi wanatisha.
2365026984_d7850e97ae_o.jpg

0013729e4518095304e614.jpg

Halfu vijana wanakubalika sana kule.
Ahmed-Abdallah-Sambi-and-Jakaya-Kikwete.jpg

Jamaa mwenyewe ikabidi aje kutoa mkono wa shukrani kwa Mkulu Vasco.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom