Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Inasemekana hii kitu ina nguvu sana, uwe na mpenzi au siyo, mtu ambaye ni soulmate kwako/wako ni vigumu sana kumtupa.
Moyoni unakuwa na hisia kali mkiwa katika hali ya "SOULMATE" na haichagui umri kabisa...uwe na miaka 70 na mwenzio ana miaka 20 na bado mnaelewana tu fresh, ile ya jinsia tofauti wengi waliokumbwa nalo wanadai ni mtamu sana kupindukia.
SOULMATE INA NGUVU SANA
Ni kweli wenye hali kama hii kwenye jinsia mnaa
Moyoni unakuwa na hisia kali mkiwa katika hali ya "SOULMATE" na haichagui umri kabisa...uwe na miaka 70 na mwenzio ana miaka 20 na bado mnaelewana tu fresh, ile ya jinsia tofauti wengi waliokumbwa nalo wanadai ni mtamu sana kupindukia.
SOULMATE INA NGUVU SANA
Ni kweli wenye hali kama hii kwenye jinsia mnaa