Sophia Simba hajui kiingereza?

Kama anaenda kuwakilisha nchi SADC basi lazima ajue vyema kujieleza kwa mdomo na kimaandishi la sivyo tunapeleka mzigo an kituko kutuwakilisha...
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
 

mkuu unaelewa vizuri maana ya masters degree?
 
Kuweka msisitizo sisi tunaojadili hoja hii tutumie lugha ya kingereza kuthibitisha tunakifahamu maana inawezekana tunaomkandia Mama Sophia pengine ni watupu kuliko MAIMUNA

Sasa mbona hukutoa huo msisitizo kwa kiingereza??

Anyway, hapa JF nafikiri english siyo tatizo kwa vile hatulazimiki kuitumia wala hajuaomba uwakilishi. Tatizo ni pale mwakilishi wetu SADC anayetegemea kutuwakilisha kwa lugha ya kiingereza halafu hajui kiingereza.
 
SADC ni Kiingereza, Kifaransa na Kireno (Mozambican, Angola), so hatofahamu lolote. An' way ataenda kupigania apatiwe interpreter wa kiswahili.

huyo interpreter atalipwa na Sadc au kwa kodi zetu?
 

Mkuu unachosema ni kweli, lakini kiingereza kisiwe kigezo pekee cha kumteua mtu kuwa ofisa. Ninaposema si wazungu wote wanaongea kiingereza maana yangu ni kuwa kuna watu Ujerumani, Russia, na nchi nyingine za ulaya ni ma-mamimuna kuliko watanzania, wanakuwa viongozi baada ya kuwa na credentials zinazosifika, si lugha tu.

Hopes za watanzania haziwezi kubebwa na kiingereza tu, kiingereza ni lugha, kiingereza si ubongo, uwezo na character ya mtu. Kuna mijitu ovyo sana, mifuska, mijizi, mifisadi, miuaji lakini inaongea kiingereza kizuri sana, mijitu kama hii haiwezi kubebea hopes za watanzania kwa sababu ya kiingereza tu. Mingine ina-ongea kiingereza kizuri sana lakini IQ ni well below 50.

Watu ambao hawateuliwi on bases of merit ndio wanakuwa na characteristics za namna hii na ndio wanakuwa na low IQ.
 
JF Patamu sana...............Hope Sophia ataperuz...
 
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""

Whaaaat!!!!!! haiwezekani? Na anataka kuiwakilisha Tz kwenye SADC? Inawezekana kweli?
 
Kama anaenda kuwakilisha nchi SADC basi lazima ajue vyema kujieleza kwa mdomo na kimaandishi la sivyo tunapeleka mzigo an kituko kutuwakilisha...

Don't compare yourself with these countries bwana.....hatujafikia hapo na hatutafikia hata siku moja!!!
 
Wadau nisaidieni...hivi waziri anaweza akawa mbunge wa Bunge la SADC au huyu mama anaona hawezi
kurudi kwenye uwaziri thats why anajaribu kujazia deal zingine.....?
 
JF mie nahisi mnamuoneaga sana mama Sophia...
yule ni kama mama yenu jamani!:nono::nono::nono::tape:
 
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Bwana Vicent, SADC lugha ya mawasiliano ni kiingereza na sio kiswahili. Au unataka awe na mkalimani wa kumtafsiria wakati wakiwa kwenye mikutano????, Kama kweli (!?)Sofia hajui kiingereza basi hafai kuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye bunge la SADC
 
Acha upumbavu wa kulinganisha China Urusi na SADC, lugha rasmi ya SADC ni kiingereza
 
Nothing Sophia Simba she knows, not only english, huyu ni hovyooooooooooo, kichwani upupuuuuu, na anawaza ........... everytime, unakumbuka alisema wamama wa CCM eti wawanyime waume zao mapenzi kwa watakao pigia kura upinzani? kichwani kwake ..............
 
JF mie nahisi mnamuoneaga sana mama Sophia...
yule ni kama mama yenu jamani!:nono::nono::nono::tape:

Wewe achaaaa mama yangu si mchafu hivyo koma, na si mjinga kama huyu, ni wako hukoooooo
 
Thats true! Huyo mama anaenda kuliwakilisha bunge, serikali na wananchi wa Tanzania kwa ujumla. Kushindwa kwakwe kushiriki katika mijadala ya bunge la SADC sio tu ni aibu kwake binafsi bali Taifa la Tanzania kwa ujumla! Lakini kwa nini CCM wanashindwa kuona hata mambo haya ya aibu? Kama ni kumtengenezea ulaji kwanini wasimpe ulaji wa hapahapa ndani? Kitendo cha kupitishwa bila kujieleza ni uthibitisho wa kwamba hawezi kuongea kingereza moja ya lugha maalum zinazotumika kwenye bunge la SADC. Hii ni aibu nyingine kwa CCM na sera zao za kulindana na kubebana hata kama mtu habebeki kama Sophia Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…