Huwezi kuamini Tanzania watu wana matatizo sana, toka lini uwt ukamshika mkono JK, hayo si masihala jamani, nao wanashangalia na kushangilia, halafu viongozi wao wanawaona mabwege!!,
WAKE UP women, changieni shughuli za maendeleo, kama kuboresha mashule, maabara mashuleni, mahospitali na huduma nyingine za jamii, hicho chama kimewaroga????? mpaka hamuwezi hata kufikiri?