Soon Mtasikia Watu Wanatoa Mlio Huko

Soon Mtasikia Watu Wanatoa Mlio Huko

Tukutane site kuwaondoa mashetani madarakani.
Hasta la victoria siempre!
images
 
Mbona kafunika uso. Muoga tu huyo hana lolote.
Lakini askari wanaofunika nyuso zao sio waoga? Kwanini wafanye hivyo na wapo kisheria? Tusubiri kesho jee hawatakwepo watakaotembea bila ya uniform na kutoficha nyuso zao??
 
Mbona kafunika uso. Muoga tu huyo hana lolote.
Unachoungumza ni sawa na kusema kwanini wale askari wa Hamas siku za kubadilishana mateka kwanini huwa wanaficha sura zao, we ukiwaangalia wale unaona ni waoga eti?

Kutana nao kwenye vita... yeye kujilipua haoni shida..

Hao jamaa wana roho ngumu hujapata kuona.
Usije kujidanganya kijana.. watu wapo serious sasa.. ukiona mwanaume anazungumza hadi analia ujue kuna jambo..

db41adf_ftp-import-images-1-t5gnmjff9xgb-5114057-01-06.jpg
 
Awaambie wazazi wake wamchimbie kaburi na azikwe na hilo rungu lake
 
Unachoungumza ni sawa na kusema kwanini wale askari wa Hamas siku za kubadilishana mateka kwanini huwa wanaficha sura zao, we ukiwaangalia wale unaona ni waoga eti?

Kutana nao kwenye vita... yeye kujilipua haoni shida..

Hao jamaa wana roho ngumu hujapata kuona.
Usije kujidanganya kijana.. watu wapo serious sasa.. ukiona mwanaume anazungumza hadi analia ujue kuna jambo..

db41adf_ftp-import-images-1-t5gnmjff9xgb-5114057-01-06.jpg
Mwanaume jasiri huwa halii ovyo kama huyo nyumbu wako.
 
Back
Top Bottom