Aisee 380,000/=!!!!!hyo ndo bei ya kioo cha sony xperia mdau,na bai halali ni 400,000/= ya kioo(screen)
kwahyo unataka kusemaje
@AK1 una back cover yake?nimetafuta hadi nimechoka
hapana mm nina sim tu viva89
ooh, too bad..asante kwa kunijibu
Hahahaha fasouls ahsante kwa kunisaidia maana dah ni shidah
Maelezo ya muuzaji yanajieleza Munawar,Ushahidi ?
Hongera,kipimo cha busara zako kinaonekana kwa maandish yakohujui ulitamkalo nimekusame tu bure siwez jibishana na mtu amby hna wisdom ....unabht wamektza link humu ningekuumbua ungehm na jf..ndo mana mnaibiwa nan ksm ukubwa wa bei ndo ubora wa kitu poor
Maelezo ya muuzaji yanajieleza Munawar,
Kwani vitu fake havinunuliki?yanajielezaje umetumwa na mashetan ww si bure ubaanzaje kujudge kitu ambacho hujaja hata kukiona ungekuwa mstaharab ungekuj ungeona ndo ujue km ni fake or what ... ur such an ign.. sana eti its fake kama huna hela kaa pemben weny hela wachukue ... anyway sikuhtaj hapa kweny posts zangu isije hyo sheria ikahusika mana mnauzi mpaka unataman uongee kitu ...unazan kuccoment ndo umature au ... huna ushahd unaropoka tu .. mbna imenunuliwa tyr na mtu wa hukuhuku wanakuchora tu ... mind your own businesses
Kwani vitu fake havinunuliki?
Mbona mmepaniki sana? hilda266 wewe ndio umesoma?hongera sana kwa elimu uliyoipata kama kusoma ndio huko simlaumu mtu kwa kutosoma. Nikuulize swali dogo tu unapimaje elimu ya mtu?Nenda kasome consumer behavior utaelewa nachomaanisha kwenye uzi huu,vinginevyo wewe na hao madogo wenzio mtakua mnabwatabwata tu hapa.Kutosoma kwangu hakunizuii kutofanya analysis kwenye manunuzi au window shoppingkiukweli mkoroshokigoli unamambo yaajabu yn ningekuwa mm ni adm ningekufungia how comes unakuja kweny biashara ya mtu na kutoa judgment zako ambazo hazina ushahid hv watz tukoje jaman akiamua kua serious na kukwambia toa ushahid ... yan ur judgng a product by amount kweli umesoma kweli ww realy na wasiwasi .... thts not fair na aliyepost umemkut anabusara otherwise ungekula maneno yako sio lazim ucomment ndo uonekn maridadi ,,, acha kuongea mambo yako yasio na maana km huna la kusem better mute